Watu wa MicroFinance wanaopiga simu kutafuta wateja, wanatoa wapi namba?

Mkuu hapo Flexicash ndo walionipigia na kunitumia msg kadhaa.
Walisema 80,000 nakopesheka🤣🤣
Si niwatafute tuu niwapige ela
Mimi nilikopa 50,000 nilibeti nikala nikawalipa 69,000.
Upumbavu wao wanaanza kudai siku ya 5 meseji nyingi kama umefanya ugaidi.
Mimi mwenyewe walinipigiaga simu, nikamwambia sina shida ya kukopa kwa sasa, siku nikiwa na shida nitakupa.

Kwenye kudai wasumbufu sana. Ukiwawakia wanakwambia meseji zinatumia na system.
 

Attachments

  • Screenshot_20241116-134037_Messages.jpg
    225.4 KB · Views: 6
mkuu wew ni mwaminifušŸ˜„šŸ˜„
Mimi nilimjibu sihitaji mkopo, na ningekopa nisingelipa
 
Kama unallaa Guest House na Lodge ambazo zinaandika "vyumba vipo" jua ndipo wamepata namba zako
Naandikaga majina ya uongo na namba za uongo mkuu🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…