Watu wa mikopo ni wasumbufu sana

Watu wa mikopo ni wasumbufu sana

Digo zee

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2017
Posts
608
Reaction score
1,252
Habari za asubuhi wana jukwaa.

Niko kwenye harakati zangu za utafutaji wa mkate, ghafla inaingia meseji ambayo iko hapo kwenye picha niliyo ambatanisha kwenye hii post.

Ikanilazimu nipige simu kuwauliza ni wapi wamepata namba zangu ila majibu yao ni kuwa namba yangu wameipata kwa kuwa mimi ni mtumishi wa serikali.

Niliendelea kuwauliza, nahitaji kufahamu kwa kina zaidi jinsi mmepata namba zangu lakini walisisitiza kuwa namba wanajuwa wao jinsi walivyo ipata.

Naombeni mnijulishe, hivi hakuna namna za kufanya kuwawajibisha watu wa namna hii au taasisi za namna hii ???
 
Habari za asubuhi wana jukwaa.

Niko kwenye harakati zangu za utafutaji wa mkate, ghafla inaingia meseji ambayo iko hapo kwenye picha niliyo ambatanisha kwenye hii post.

Ikanilazimu nipige simu kuwauliza ni wapi wamepata namba zangu ila majibu yao ni kuwa namba yangu wameipata kwa kuwa mimi ni mtumishi wa serikali.

Niliendelea kuwauliza, nahitaji kufahamu kwa kina zaidi jinsi mmepata namba zangu lakini walisisitiza kuwa namba wanajuwa wao jinsi walivyo ipata.

Naombeni mnijulishe, hivi hakuna namna za kufanya kuwawajibisha watu wa namna hii au taasisi za namna hii ???
Nafikiri mtu wa kwanza wa kuwasiliana naye kwenye suala kama hili ni Mtoa Huduma wako wa Mtandao wa simu ( Service Provider, SP), baada ya hapo ndipo unaweza ukajua nini hasa unatakiwa kufanya.
 
Picha uliyoambatanisha ipo wapi??

Ila mimi pia nahisi kuna namna namba zetu zinachukuliwa kutoka taasisi mbalimbali na watu wa biashara.

Mimi nashangaa kila nikiwa na mtoto mdogo msg za daycare haziishi. Kila siku wananiambia nimpeleke mtoto mara kituo hiki mara kituo kile na ni za karibu na nilipo sasa sijui wanajuaje mimi ni mteja wao mtarajiwa😏😏😏
 
Picha uliyoambatanisha ipo wapi??

Ila mimi pia nahisi kuna namna namba zetu zinachukuliwa kutoka taasisi mbalimbali na watu wa biashara.

Mimi nashangaa kila nikiwa na mtoto mdogo msg za daycare haziishi. Kila siku wananiambia nimpeleke mtoto mara kituo hiki mara kituo kile na ni za karibu na nilipo sasa sijui wanajuaje mimi ni mteja wao mtarajiwa😏😏😏
Lakini pia tambua kwamba Udukuzi ni tatizo halisi ambalo lipo.
 
Picha uliyoambatanisha ipo wapi??

Ila mimi pia nahisi kuna namna namba zetu zinachukuliwa kutoka taasisi mbalimbali na watu wa biashara.

Mimi nashangaa kila nikiwa na mtoto mdogo msg za daycare haziishi. Kila siku wananiambia nimpeleke mtoto mara kituo hiki mara kituo kile na ni za karibu na nilipo sasa sijui wanajuaje mimi ni mteja wao mtarajiwa😏😏😏

Yaani inashangaza sana, hili ni tatizo kubwa sana kwani ulinzi wa taarifa zetu binafsi unakuwa mashakani.
 
Dawa ya deni ni kulipa tu...Namba zipo tu watu wana database ya namba za watu wote milioni 60 na NIDA zao.

Kama watu wa mikopo ya apps basi wakati unainstall ulikubali app iaccess phonebook yako.
 
Picha uliyoambatanisha ipo wapi??

Ila mimi pia nahisi kuna namna namba zetu zinachukuliwa kutoka taasisi mbalimbali na watu wa biashara.

Mimi nashangaa kila nikiwa na mtoto mdogo msg za daycare haziishi. Kila siku wananiambia nimpeleke mtoto mara kituo hiki mara kituo kile na ni za karibu na nilipo sasa sijui wanajuaje mimi ni mteja wao mtarajiwa😏😏😏
Labda walikuona ukiwa mjamzito. wakakadilia baada ya mda fulani utajifungua ndio wakatafuta namba yako Sasa 😂😂😂
 
Natamani wanifanyie hivyo mimi. Ni kuwashtaki tu na kudai fidia ya bilioni tano.
 
Habari za asubuhi wana jukwaa.

Niko kwenye harakati zangu za utafutaji wa mkate, ghafla inaingia meseji ambayo iko hapo kwenye picha niliyo ambatanisha kwenye hii post.

Ikanilazimu nipige simu kuwauliza ni wapi wamepata namba zangu ila majibu yao ni kuwa namba yangu wameipata kwa kuwa mimi ni mtumishi wa serikali.

Niliendelea kuwauliza, nahitaji kufahamu kwa kina zaidi jinsi mmepata namba zangu lakini walisisitiza kuwa namba wanajuwa wao jinsi walivyo ipata.

Naombeni mnijulishe, hivi hakuna namna za kufanya kuwawajibisha watu wa namna hii au taasisi za namna hii ???
🤣🤣🤣 wee lipa deni la watu ulitaka kuwarusha sasa umepatkna hyo ipo kweny vpengele lazm unampo mkopesha mtu aliyo vurungwa na maisha n lazma uwe na taarfa zake zote moja wapo mawasiliano baina ya mkopeshaji na mkopaji au taass na mtu bnafs aliye kopa
 
🤣🤣🤣 wee lipa deni la watu ulitaka kuwarusha sasa umepatkna hyo ipo kweny vpengele lazm unampo mkopesha mtu aliyo vurungwa na maisha n lazma uwe na taarfa zake zote moja wapo mawasiliano baina ya mkopeshaji na mkopaji au taass na mtu bnafs aliye kopa
Mkuu muwe mnasoma mnaelewa bas sawa?
 
Back
Top Bottom