Watu wa Mitandaoni walioambiwa wajitokeze kutoa taarifa za kuisaidia Serikali, wakishajitokeza waripoti kwa nani?

Watu wa Mitandaoni walioambiwa wajitokeze kutoa taarifa za kuisaidia Serikali, wakishajitokeza waripoti kwa nani?

Hakuna jipya kufa ni kufa mungu akitaka ufe unakufa

Na nyerere, Karume, Sokoine walikufaje?
 
Kwa akil yako finyu kuna mtu anaweza kujitokeza eti mm ndio Veronica France ubinywe Korodan na kupotezwa kimya kimya
 
Huyo ni musiba baada ya utawala kubadilika anaogopa kuchapisha ujinga ujinga wake kwenye magazeti hivyo kaamua kujificha mtandaoni kwa jina la kike
 
Ewe bi veronica kama kifo cha mwamba kilikuuma ungezikwa nae.ulishaambiwa alikua na tatizo la moyo,we bado unakomalia sumu imekua sumu.shubaamiti .,
 
Kwani Mh Rais SSH si taarifa hizi kazisikia mìtandaoni. Ushahidi wautolee humu humu mitandaoni ama hautaeleweka?

Uweze kutoa shutuma mitandaoni ila usiweze kuweka ushahidi mitandaoni. Hawa ni wa kupuuziwa tu. Yako mambo mengine mengi ya mitandaoni ambayo ni muhimu yafanyiwe kazi sio huu upuuzi usio na ushahidi.
 
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.

Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .

Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
Wamuulize huyo dada Cyprian Musiba anayejiita Veronica France huko fb atuletee ushahidi wa hicho anachokisema kuhusu kifo cha bwana jiwe
 
Kupambana na kina KIGOGO2014 serikali ijitahidi kutenda haki kwa raia.Kigogo aliundwa kwa ajili ya JIWE ambae alikuwa hagusiki kirahisi.
 
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.

Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .

Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
Midhali ametoa wito huo natumai ataweka njia wazi aidha nadhani mahala salama pa kutoa taarifa ni katika ofisi yake... maana idara zingine uaminifu wake bado unatiliwa shaka
 
Back
Top Bottom