๐ ๐ ๐ Reli iko na kifafaHiyo hapo juuu ni udongo tu kuporomoka sababu ya mvua kubwa.
Lakini ile reli yenyu chakavu treni ilianguka fo fo fo kama maiti na reli mpya ikasonga kando .Hao Waturiki kweli wamewagonga WaTz kwenye ujenzi wa reli mbaya.
Hahahaha, kichwa chako kibovu wewe, sasa hapo katika hizo graph hasara ipo wapi?. Hata hujui kusoma graph za uchumi, tukiwaambia uwezo weno wa akili ni mdogo mnakataa.Let me try and simplify things for you
Sgr imeanza juzi na nikawaida ku make losses before iweze ku break even .Biashara yeyote ya aina hii lazima ifuate graph kama hii
View attachment 1213158
Mwezi November ndio mradi unakabidhiwa kwa Serikali, Magufuli anaufungua rasmi December.Naona umebadili toka November Hadi December [emoji23][emoji23]
Unanikumbusha ule usemi wako wa ''andaa passport uje upande bullet train mwezi novemba. Haturuhusu IDs''
So, why your government is struggling to Nationalize and complains that KQ is a burden to tax payers if it is contributing greatly to your economy?. How can a company which contributes immensely to the Economy be a burden to a Country.KQ makes losses but brings in about 2% of kenyan GDP via tourism. I guess you also think public education should make a profit. some services are offered for public good not for profit.
What about you who decided to follow capitalism blindly and ended up to.That laziness is the reason they are still an LDC. Ujamaa mentality haijawaondoka majirani zetu kabisa. Sitting around believing that your problem is the problem of the whole society and someone somewhere will solve it at the end of the day. If he can't even click on a simple link to read the content what does that tell you? Lazy to the brim!!
Wewe washwa washwa tu
Ukwel wauma...nina uhakika niki screenshot post zako katika huu uzi..si ajabu nitakuta hujaandika chochote cha kuhusiana na mada...
What about you who decided to follow capitalism blindly and ended up to.
1)Tribalism
2)Corruption
3)Crime
4)Hunger
5)Extra judicial killings
6)Unemployment
7)Slums
8)Land owned by few people
9)Poverty
10)Economy owned by few people
11)...
Ukweli upi huo?
Wewe kipi umeandika kinachohusiana na mada?
Daaaah asee Mchina mtu mbaya sanaaaa!!Huu mpapasho sio poa [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1213278
Tony... Hili ndio tatizo lenu wakenya, ninyi hamjui nini mnataka katika miradi yenu. Hapa abazungumzia volume ya mizigo na abiria, lakini hazungimzii "Financial profits".
Tuambieni, lengo lenu ni kujaza mabehewa au kupata faida?. SGR ya Kenya haiwezi kutengeneza faida kama nauli wanayotoza itakua ni " market price", itajaza abiria na mizigo lakini pesa itakayopatikana haiwezi kurudisha gharama za ujenzi, kutokana na ujenzi wake kuwa ghali sana, hiyo ndio maana ya " White elephant project"
Stupid as usual, then why your government reported loss in the first year of operation?, why Chinese are operating for some years untill they get their money back, if it doesn't make profit where will they get their money from?. Why China decided not to fund the remaining section from Naivasha to Malaba?
Vip na Lamu port ,ni white elephant ijayo maana leo nimeona gazeti la East Africa kwamba mizigo ya Ethiopia imedrop mpaka O asilimia wanatumia za jibout na za Somalia, sasa lamu atakuwa mgeni wa Nani? ๐Kama Bagamoyo Port hivi. Anyway the whole of Danganyika is isa white farting Elephant
You are very shallow in your thinking .Hahahaha, kichwa chako kibovu wewe, sasa hapo katika hizo graph hasara ipo wapi?. Hata hujui kusoma graph za uchumi, tukiwaambia uwezo weno wa akili ni mdogo mnakataa.
Lete link ya hilo gazeti nihakikisheVip na Lamu port ,ni white elephant ijayo maana leo nimeona gazeti la East Africa kwamba mizigo ya Ethiopia imedrop mpaka O asilimia wanatumia za jibout na za Somalia, sasa lamu atakuwa mgeni wa Nani? [emoji125]
"White elephant project", is the project that is too expensive to pay back, the one not viable economically.
SGR yenu haiwezi kuhimili ushindani wa biashara, lazima ibebwe na serikali.
Vipi kuhusu ya Tanzania?
Most Kenyans wanaabudu wazungu...kitu akisema Mzungu kuwa ni kizuri basi hapo roho zimewaka Kwa furaha hata Kama uwongo...wao Mungu wao MzunguUngesema inaapiga kazi. Ila tatizo kila kitu lazima mpate authetification kwa wazungu?
Most Kenyans wanaabudu wazungu...kitu akisema Mzungu kuwa ni kizuri basi hapo roho zimewaka Kwa furaha hata Kama uwongo...wao Mungu wao Mzungu