Watu wa moshi mjini na vijijini vip majina ya sensa wamebandika?

Watu wa moshi mjini na vijijini vip majina ya sensa wamebandika?

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
880
Jaman tujuzane ndugu yangu maana nasikia dsm wao kimesanuka tangu jana vp watu wa moshi kila nikienda ofisi ya mtendaji hayupo tushirikiane kupeana taarifa katika hili
 
Moshi hakuna dalili mpaka tym hii.
 
Duu hali ni tete kesho lazima nishuke manispa
 
Nimeambiwa watatoa majina j4 sasa zoez c walisema litaanza j3? What happen jaman ebu tujuzane kwa wanaojua manspaa wanadai kuna mabadiliko yametokea ila hawajasema ni nini
 
jaman nauliza vp kama ujatokea knye usail? Kuna chance ya kusaidiwa?
 
Jaman na wilaya ya hai ni lini?
 
Walisema leo mkuu watabandika so usikose kuwepo eneo la tukio

leo naona pakavu mkuu, na kesho hawatakuwa kazini malegend wote, labda mpaka alhamis, tupeane taarifa wadau
 
Wamesema tuchek kwenye kata ze2 mkuu ndo najaribu kufuatilia kama wakibandka tutashtuana
leo naona pakavu mkuu, na kesho hawatakuwa kazini malegend wote, labda mpaka alhamis, tupeane taarifa wadau
 
Moshi mjini wameyaweka jana usiku ila kilichotokea mtajionea wenyewe.
 
Duu ebu tudokeze japo mkuu maana wengne ndo tunajipanga kwenda kuangalia
 
Back
Top Bottom