Watu wa Mpira Bongo jifunzeni Kifaransa. Mtaendelea kuaibika mpaka lini?

Watu wa Mpira Bongo jifunzeni Kifaransa. Mtaendelea kuaibika mpaka lini?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kama timu za Tanzania zitaendelea kuchukua makocha na wachezaji toka nchi zinazozungumza kifaransa, basi kuijua lugha ya kifaransa ni muhimu na lazima.

Wachezaji wetu wa ndani,wachambuzi wa Mpira, waandishi wa habari na makocha wetu, lazima wajue pamoja na kuujua Mpira, lakini mafanikio ya kweli huletwa na mawasilioano ya lugha.

Kama kocha lugha unayoijua ni Kiswahili tu na kiingereza Cha kubabia, timu unayofundisha Ina wachezaji watano wanaozungumza kifaransa pekee, hali itakuwaje?

Mchezaji kama umepata Dili la kwenda kucheza nchi inayotumia kifaransa kama lugha ya mawasiliano, ukifika huko utaingiaje kwenye mfumo haraka?

Hawa wachambuzi wetu wa Mpira (wengine ni uchwara tu) Kuna wakati hukosa taarifa za wachezaji wanaokuja kucheza huku kwa kuwa taarifa za wachezaji hao zimeandikwa kwa kifaransa.

Angalia waandishi wetu wanavyobabaika kuwahoji wachezaji wanaojua kifaransa pekee. Yaani ni vururuvururu😃😄😀

Hata mazoezini unaona kabisa wachezaji wa bongo stori wanapiga wenyewe Kwa wenyewe.

Kipaji sawa, lakini na lugha iwemo.
 
Kama timu za Tanzania zitaendelea kuchukua makocha na wachezaji toka nchi zinazozungumza kifaransa, basi kuijua lugha ya kifaransa ni muhimu na lazima.

Wachezaji wetu wa ndani,wachambuzi wa Mpira, waandishi wa habari na makocha wetu, lazima wajue pamoja na kuujua Mpira, lakini mafanikio ya kweli huletwa na mawasilioano ya lugha.

Kama kocha lugha unayoijua ni Kiswahili tu na kiingereza Cha kubabia, timu unayofundisha Ina wachezaji watano wanaozungumza kifaransa pekee, hali itakuwaje?

Mchezaji kama umepata Dili la kwenda kucheza nchi inayotumia kifaransa kama lugha ya mawasiliano, ukifika huko utaingiaje kwenye mfumo haraka?

Hawa wachambuzi wetu wa Mpira (wengine ni uchwara tu) Kuna wakati hukosa taarifa za wachezaji wanaokuja kucheza huku kwa kuwa taarifa za wachezaji hao zimeandikwa kwa kifaransa.

Angalia waandishi wetu wanavyobabaika kuwahoji wachezaji wanaojua kifaransa pekee. Yaani ni vururuvururu😃😄😀

Hata mazoezini unaona kabisa wachezaji wa bongo stori wanapiga wenyewe Kwa wenyewe.

Kipaji sawa, lakini na lugha iwemo.
Mkuu sio tujifunze wao ndio wajifinze lugha yetu. Ukitaka kwenda kucheza Uingereza huwaambi wao wajifinze kiswahili Bali unajifunza lugha yao. Nao wajifinze ya kwetu. Simple
 
Kama timu za Tanzania zitaendelea kuchukua makocha na wachezaji toka nchi zinazozungumza kifaransa, basi kuijua lugha ya kifaransa ni muhimu na lazima.

Wachezaji wetu wa ndani,wachambuzi wa Mpira, waandishi wa habari na makocha wetu, lazima wajue pamoja na kuujua Mpira, lakini mafanikio ya kweli huletwa na mawasilioano ya lugha.

Kama kocha lugha unayoijua ni Kiswahili tu na kiingereza Cha kubabia, timu unayofundisha Ina wachezaji watano wanaozungumza kifaransa pekee, hali itakuwaje?

Mchezaji kama umepata Dili la kwenda kucheza nchi inayotumia kifaransa kama lugha ya mawasiliano, ukifika huko utaingiaje kwenye mfumo haraka?

Hawa wachambuzi wetu wa Mpira (wengine ni uchwara tu) Kuna wakati hukosa taarifa za wachezaji wanaokuja kucheza huku kwa kuwa taarifa za wachezaji hao zimeandikwa kwa kifaransa.

Angalia waandishi wetu wanavyobabaika kuwahoji wachezaji wanaojua kifaransa pekee. Yaani ni vururuvururu😃😄😀

Hata mazoezini unaona kabisa wachezaji wa bongo stori wanapiga wenyewe Kwa wenyewe.

Kipaji sawa, lakini na lugha iwemo.
Lugha haijawahi kuwa kikwazo kwenye mpira
 
Duniani kote iko hivi kwenye upande wa football, "Kama unaenda Uingereza utajifunza kiingereza, ukienda spain utajifunza kihispania na ukienda ufaransa utajifunza kifaransa".

Basi hata wachezaji wakija bongo wajifunze Kiswahili na kiingereza. OVER
Tatizo sisi hatujiamini
Uingereza lazima ujifunze lugha yao. Hata mahojiano ya wachezaji na makocha hufanyika kwa kingereza tu
 
Kama timu za Tanzania zitaendelea kuchukua makocha na wachezaji toka nchi zinazozungumza kifaransa, basi kuijua lugha ya kifaransa ni muhimu na lazima.

Wachezaji wetu wa ndani,wachambuzi wa Mpira, waandishi wa habari na makocha wetu, lazima wajue pamoja na kuujua Mpira, lakini mafanikio ya kweli huletwa na mawasilioano ya lugha.

Kama kocha lugha unayoijua ni Kiswahili tu na kiingereza Cha kubabia, timu unayofundisha Ina wachezaji watano wanaozungumza kifaransa pekee, hali itakuwaje?

Mchezaji kama umepata Dili la kwenda kucheza nchi inayotumia kifaransa kama lugha ya mawasiliano, ukifika huko utaingiaje kwenye mfumo haraka?

Hawa wachambuzi wetu wa Mpira (wengine ni uchwara tu) Kuna wakati hukosa taarifa za wachezaji wanaokuja kucheza huku kwa kuwa taarifa za wachezaji hao zimeandikwa kwa kifaransa.

Angalia waandishi wetu wanavyobabaika kuwahoji wachezaji wanaojua kifaransa pekee. Yaani ni vururuvururu😃😄😀

Hata mazoezini unaona kabisa wachezaji wa bongo stori wanapiga wenyewe Kwa wenyewe.

Kipaji sawa, lakini na lugha iwemo.
Diarra Djigue anaongea Kifaransa tu. Kiswahili hajui, Kiinglishi hajui. Lakini lugha ya mpira wa miguu yuko vizuri sanaa
 
Diarra Djigue anaongea Kifaransa tu. Kiswahili hajui, Kiinglishi hajui. Lakini lugha ya mpira wa miguu yuko vizuri sanaa
Kuna levo hizo mambo za kusema lugha ya Mpira zinakufa.

Umiza makocha shida inayotokana na kufundisha mtu msiyeelewana lugha.

Amini kinachowasaidia Yanga na Simba hao kina diarra wanafafanuliwa mambo na kina Nzengeli ambao wana uelewa fulani wa Lugha ya kiswahili.
 
Kuna levo hizo mambo za kusema lugha ya Mpira zinakufa.

Umiza makocha shida inayotokana na kufundisha mtu msiyeelewana lugha.

Amini kinachowasaidia Yanga na Simba hao kina diarra wanafafanuliwa mambo na kina Nzengeli ambao wana uelewa fulani wa Lugha ya kiswahili.
Mzungu wa Makolo anafundisha vema tu. Unadhani wachezaji wote wa simba wanakijua kizungu?
Lugha za mpira zipo sanaa tui
 
Kama timu za Tanzania zitaendelea kuchukua makocha na wachezaji toka nchi zinazozungumza kifaransa, basi kuijua lugha ya kifaransa ni muhimu na lazima.

Wachezaji wetu wa ndani,wachambuzi wa Mpira, waandishi wa habari na makocha wetu, lazima wajue pamoja na kuujua Mpira, lakini mafanikio ya kweli huletwa na mawasilioano ya lugha.

Kama kocha lugha unayoijua ni Kiswahili tu na kiingereza Cha kubabia, timu unayofundisha Ina wachezaji watano wanaozungumza kifaransa pekee, hali itakuwaje?

Mchezaji kama umepata Dili la kwenda kucheza nchi inayotumia kifaransa kama lugha ya mawasiliano, ukifika huko utaingiaje kwenye mfumo haraka?

Hawa wachambuzi wetu wa Mpira (wengine ni uchwara tu) Kuna wakati hukosa taarifa za wachezaji wanaokuja kucheza huku kwa kuwa taarifa za wachezaji hao zimeandikwa kwa kifaransa.

Angalia waandishi wetu wanavyobabaika kuwahoji wachezaji wanaojua kifaransa pekee. Yaani ni vururuvururu😃😄😀

Hata mazoezini unaona kabisa wachezaji wa bongo stori wanapiga wenyewe Kwa wenyewe.

Kipaji sawa, lakini na lugha iwemo.
Mpira una Lugha yake, matendo huongea zaidi. Hayo mambo ya Lugha waachie wakalimani.
 
Back
Top Bottom