Watu wa Muleba hawataki Kumegwa na Mkoa mpya wa Chato

Wao ni kufuata tuu mkumbo wa mwenda zake[emoji1787][emoji1787]
 
Kutoka kwenye wilaya zitakazounda mkoa mpya.

Kwa hiyo Chato yenyewe haikidhi vigezo… inabidi imegewe maeneo

Then Tibaijuka is right… thats exactly what Tibaijuka isa saying… Heko Mama Tibaijuka

Kinachonisikitisha ni kwamba Kagera na sifa zake zote za usomi na uwezo wa watu wao yani amejitokeza mtu mmoja tu nchi nzima mwenye ujasiri wa kuhoji na kupinga azma ya serikali kumega mkoa wao wa Kagera…. ajabu sana
 
Tibaijuka anasema yeye kama mtu wa Muleba na watu wote wa Muleba hawataki Kumegwa na watu wa Chato.

Wanalalamika kwamba kwa nini wamegwe wao?
View attachment 2022603
ukabila ni kidonda kikubwa sana kwa watani zangu wahaya. hata yule askofu wa tundu lisu yule anayetumia watanzania kuomba misaada ya shule yake, ameongea hivihivi, anaona kabila la wahaya litamegwa. mbona wasukuma wapo kila mkoa lakini usukuma wao umebaki palepale? watu hadi wanakuwa maprofesa lakini ukabila upo palepale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…