Hakuna ukakasi wowote mako ni mwanasiasa wa siku nyingi tu na ameshakuwa hadi mbunge wa East Africa.Kuna nature ya kazi na ulikuwa unafanya nini before hili liko wazi sio kubishana ila kwa ishu ya mako kuna ukakasi
Simuonei wivu acha ale tu maana mzee wao hakuwaachia kituHakuna ukakasi wowote mako ni mwanasiasa wa siku nyingi tu na ameshakuwa hadi mbunge wa East Africa.
BTW wacha ale nchi aisee hii nafasi hata ingekuwa mie na sina mchongo wa maana na nikateuliwa na Rais pia ni heshima kubwa.
Agreed, dingi yao alikuwa mkaksi sana aisee π Yani isingekuwa shukrani na heshima za watanzania Hawa jamaa wangekuwa na maisha magumu sana maana yule mzee hakutaka hata wakae ikulu aliwatimua πππSimuonei wivu acha ale tu maana mzee wao hakuwaachia kitu
Yule mzee alikuwa muadilifu sana,pesa hazijifichi angekuwa amepiga tungejua tu duniani hakuna siri .wacha tu mako ake kiroho safiAgreed, dingi yao alikuwa mkaksi sana aisee π Yani isingekuwa shukrani na heshima za watanzania Hawa jamaa wangekuwa na maisha magumu sana maana yule mzee hakutaka hata wakae ikulu aliwatimua πππ
Yani wamechelewa sana kula pipi mzee alikuwa hataki hata kuwaachia nyumba nzuri alipostaafu akarudi kwenye nyumba yake ya matofali ya kuchoma mpaka walipomlazimisha apokee nyumba ya msasani na Ile makumbusho ambapo ndio at least ndugu wanapata kipato pale .
Kilio chenu kimesikikaHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.