Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Kuna nature ya kazi na ulikuwa unafanya nini before hili liko wazi sio kubishana ila kwa ishu ya mako kuna ukakasi
Hakuna ukakasi wowote mako ni mwanasiasa wa siku nyingi tu na ameshakuwa hadi mbunge wa East Africa.

BTW wacha ale nchi aisee hii nafasi hata ingekuwa mie na sina mchongo wa maana na nikateuliwa na Rais pia ni heshima kubwa.
 
Hakuna ukakasi wowote mako ni mwanasiasa wa siku nyingi tu na ameshakuwa hadi mbunge wa East Africa.

BTW wacha ale nchi aisee hii nafasi hata ingekuwa mie na sina mchongo wa maana na nikateuliwa na Rais pia ni heshima kubwa.
Simuonei wivu acha ale tu maana mzee wao hakuwaachia kitu
 
Simuonei wivu acha ale tu maana mzee wao hakuwaachia kitu
Agreed, dingi yao alikuwa mkaksi sana aisee 😃 Yani isingekuwa shukrani na heshima za watanzania Hawa jamaa wangekuwa na maisha magumu sana maana yule mzee hakutaka hata wakae ikulu aliwatimua 😃😃😃

Yani wamechelewa sana kula pipi mzee alikuwa hataki hata kuwaachia nyumba nzuri alipostaafu akarudi kwenye nyumba yake ya matofali ya kuchoma mpaka walipomlazimisha apokee nyumba ya msasani na Ile makumbusho ambapo ndio at least ndugu wanapata kipato pale .
 
Agreed, dingi yao alikuwa mkaksi sana aisee 😃 Yani isingekuwa shukrani na heshima za watanzania Hawa jamaa wangekuwa na maisha magumu sana maana yule mzee hakutaka hata wakae ikulu aliwatimua 😃😃😃

Yani wamechelewa sana kula pipi mzee alikuwa hataki hata kuwaachia nyumba nzuri alipostaafu akarudi kwenye nyumba yake ya matofali ya kuchoma mpaka walipomlazimisha apokee nyumba ya msasani na Ile makumbusho ambapo ndio at least ndugu wanapata kipato pale .
Yule mzee alikuwa muadilifu sana,pesa hazijifichi angekuwa amepiga tungejua tu duniani hakuna siri .wacha tu mako ake kiroho safi
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Kilio chenu kimesikika
 
Mama amesikia kilio chenu....Chalamila mhuni yule. Tulitakiwa tuwe nawe mitaani huku tunafanya uchuuzi...
 
Back
Top Bottom