Watu wa PSU huyo Bodyguard wa Kike wa Mama apunguze Unene na kuwa na Sura ya Kukasirika mno

Ni Wivu Tuu.
 
Mkuu kama wewe una muona Genta ni exceptional humu sijui wewe unajichukuliaje, au wewe ni moja ya wale mnaotamani muwe na wazazi ambao ni jirani zenu
Tunatofautiana namna ya kutazama jambo...ukiacha mkumbo na ushabiki pamoja na chuki,alafu ukatuliza akili utaona genta huwa anaandika facts only in a very hard language. So kwangu Mimi ni exceptional who can view something from a very acute angle.
 
Wewe ni mkurya gani unaimba taarabu? Nais umevaa shanga wewe sio bure na umetoboa pua na umewekewa kisoda takoni
Aleleluyaaaa!
 
Tunatofautiana namna ya kutazama jambo...ukiacha mkumbo na ushabiki pamoja na chuki,alafu ukatuliza akili utaona genta huwa anaandika facts only in a very hard language. So kwangu Mimi ni exceptional who can view something from a very acute angle.
Sawa mkuu, una haki ya kujifanya au kujiona hivyo. Dunia ina mengi na watu wa aina tofauti kama ambavyo Tanzania kuna mtu kama wewe japo waweza ukawa hauko huko Tanzania.
 
Leo hii nilimuona na hilo nililiona yuko tofauti kbs na siku anaanza kazi hiyo nikajiuliza maswali mengi jibu likawa huenda Hana muda wa mazoezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…