Watu wa PSU huyo Bodyguard wa Kike wa Mama apunguze Unene na kuwa na Sura ya Kukasirika mno

Watu wa PSU huyo Bodyguard wa Kike wa Mama apunguze Unene na kuwa na Sura ya Kukasirika mno

Kwa nilivyomuona Siku ya Simba Day hasa walipokuwa mule ndani Uwanjani ambako Mheshimiwa Rais Samia alikuwa akipokea Maelekezo kutoka kwa CEO wa Simba SC Imani Kajula niligundua Mambo kadhaa.

Sina shaka na Uwezo wake wa Kiutendaji nikiamini kuwa hadi Watu wa PSU wamemchagua Kumlinda Mama (Mheshimiwa Rais) Basi atakuwa yuko vyema.

Concern yangu GENTAMYCINE Kwake huyo Dada (Bodyguard) wa Rais Samia ni kule kuwa Mnene mno hadi kuna wakati nilikuwa nikiona Uzito wake unavyomsumbua hata alivyokuwa akitembea.

Lingine natambua kuwa Walinzi wa Marais (Bodyguards) wanatakiwa kuwa na Sura za Kazi Kazi ( Sura Ngumu Kimedani ) ila kwa huyu Dada (Mlinzi Tipwa Tipwa) wa Rais yeye muda mwingi niikuwa namuona ana Sura ya Makasiriko (Usununu) tu na siyo Sura ya Kazi mpaka nikawa najiuliza maswali mengi na sikupata majibu yake.

GENTAMYCINE sitosikia furaha nikimaliza kuandika huu Uzi bila Kumpongeza yule Dada ( Bodyguard ) mwingine wa Mama ( Rais ) Samia ambaye ana Mwili mzuri kimwonekano, hajanenepeana vibaya kama Vitumbua vya Mama Chiku Tandale, ana Composure nzuri, body language yake inakupa uhakika kuwa Mama yuko katika Mikono salama Kiulinzi, hana Mbwebwe, ana Umakini mkubwa, yuko sharp na sikushangaa nilipoona baadae Yeye ndiyo alikuwa karibu zaidi na Mama (Rais) Kiutendaji na Kimaelekezo.

Huyu nimemkubali sana na niwaombeni tu Watu wa PSU tafadhali nifikishieni hizi Pongezi zangu GENTAMYCINE Kwake na namtakia Majukumu mema kwani Kazi anaiweza na anaijua tofauti na Mwenzake ambaye ana Mapungufu niliyoyaorodhesha na mkiweza msaidieni ili aondokane nayo.

Kwa wale Walinzi wa Kiume wa Mama (Rais Samia ) sina tatizo nanyi, mko vyema na mnachonifurahisha zaidi ni kwamba hamjiachii na Kunenepeana hovyo kama Panya Buku wa Nanyamba Mtwara kama walivyokuwa Wenzenu fulani fulani ( wa Awamu niliyoisahau ) ambao Wao baadhi yao si tu kwamba Walinenepeana bali walikuwa pia ni Mabingwa wa Kufakamia Mivyakula (Mipochopocho) ya Ikulu zetu hadi wakawa Wavivu kama Paka wa Hoteli ya Yamungu Mengi ya Ilala Shariff Shamba Dar es Salaam.

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat (hali ya kutaka Kupandwa na Dume) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
Ninakunukuu:

Mheshimiwa Rais Samia alikuwa akipokea Maelekezo kutoka kwa CEO wa Simba SC Imani Kajula.

Majibu:

Raisi hawezi kupokea maelekezo kutoka Kwa takataka yeyote kutoka Simba au popote pale ndani ya Tanzania
 
Genta nifate inbox tunaandaa mkeka mpya wa ma DC
Sihitaji Cheo chochote kile Serikalini kwani Cheo nilichonacho kama Mfalme ( King ) hapa JamiiForums kinanitosha.

Labda nije huko inbox ili uniambie kuwa una hamu Nikubandue kwani Unanipenda sana GENTAMYCINE kuliko hata unavyompenda Mumeo au 'Anayekunyabenga' Unyabengani mwako.
 
Ninakunukuu:

Mheshimiwa Rais Samia alikuwa akipokea Maelekezo kutoka kwa CEO wa Simba SC Imani Kajula.

Majibu:

Raisi hawezi kupokea maelekezo kutoka Kwa takataka yeyote kutoka Simba au popote pale ndani ya Tanzania
Rubbish.
 
Kwa nilivyomuona Siku ya Simba Day hasa walipokuwa mule ndani Uwanjani ambako Mheshimiwa Rais Samia alikuwa akipokea Maelekezo kutoka kwa CEO wa Simba SC Imani Kajula niligundua Mambo kadhaa.

Sina shaka na Uwezo wake wa Kiutendaji nikiamini kuwa hadi Watu wa PSU wamemchagua Kumlinda Mama (Mheshimiwa Rais) Basi atakuwa yuko vyema.

Concern yangu GENTAMYCINE Kwake huyo Dada (Bodyguard) wa Rais Samia ni kule kuwa Mnene mno hadi kuna wakati nilikuwa nikiona Uzito wake unavyomsumbua hata alivyokuwa akitembea.

Lingine natambua kuwa Walinzi wa Marais (Bodyguards) wanatakiwa kuwa na Sura za Kazi Kazi ( Sura Ngumu Kimedani ) ila kwa huyu Dada (Mlinzi Tipwa Tipwa) wa Rais yeye muda mwingi niikuwa namuona ana Sura ya Makasiriko (Usununu) tu na siyo Sura ya Kazi mpaka nikawa najiuliza maswali mengi na sikupata majibu yake.

GENTAMYCINE sitosikia furaha nikimaliza kuandika huu Uzi bila Kumpongeza yule Dada ( Bodyguard ) mwingine wa Mama ( Rais ) Samia ambaye ana Mwili mzuri kimwonekano, hajanenepeana vibaya kama Vitumbua vya Mama Chiku Tandale, ana Composure nzuri, body language yake inakupa uhakika kuwa Mama yuko katika Mikono salama Kiulinzi, hana Mbwebwe, ana Umakini mkubwa, yuko sharp na sikushangaa nilipoona baadae Yeye ndiyo alikuwa karibu zaidi na Mama (Rais) Kiutendaji na Kimaelekezo.

Huyu nimemkubali sana na niwaombeni tu Watu wa PSU tafadhali nifikishieni hizi Pongezi zangu GENTAMYCINE Kwake na namtakia Majukumu mema kwani Kazi anaiweza na anaijua tofauti na Mwenzake ambaye ana Mapungufu niliyoyaorodhesha na mkiweza msaidieni ili aondokane nayo.

Kwa wale Walinzi wa Kiume wa Mama (Rais Samia ) sina tatizo nanyi, mko vyema na mnachonifurahisha zaidi ni kwamba hamjiachii na Kunenepeana hovyo kama Panya Buku wa Nanyamba Mtwara kama walivyokuwa Wenzenu fulani fulani ( wa Awamu niliyoisahau ) ambao Wao baadhi yao si tu kwamba Walinenepeana bali walikuwa pia ni Mabingwa wa Kufakamia Mivyakula (Mipochopocho) ya Ikulu zetu hadi wakawa Wavivu kama Paka wa Hoteli ya Yamungu Mengi ya Ilala Shariff Shamba Dar es Salaam.

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat (hali ya kutaka Kupandwa na Dume) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
Punguza ujuaji, nani kakwambia yule ni mlinzi wa Rais!? Haya mambo yako nje ya uwezo wako. Ulinzi wa Rais ni mkubwa zaidi ya unavyofikiri na wala haumtegemei msaidizi wake japo naye anahusika kwa kiasi.
 
Punguza ujuaji, nani kakwambia yule ni mlinzi wa Rais!? Haya mambo yako nje ya uwezo wako. Ulinzi wa Rais ni mkubwa zaidi ya unavyofikiri na wala haumtegemei msaidizi wake japo naye anahusika kwa kiasi.
Rubbish and Nonsensical.
 
Sihitaji Cheo chochote kile Serikalini kwani Cheo nilichonacho kama Mfalme ( King ) hapa JamiiForums kinanitosha.

Labda nije huko inbox ili uniambie kuwa una hamu Nikubandue kwani Unanipenda sana GENTAMYCINE kuliko hata unavyompenda Mumeo au 'Anayekunyabenga' Unyabengani mwako.
We mbwa mbona unamatusi hivi. Unamtukanaje Mtwa mkuu kiongozi wa walambwa wote jamii forum unapata wapi hayo madaraka mlevi mmoja wewe
 
Mods msimpige Ban huyu jamaa matusi ni rugha yake ya heshima
Kama ambavyo wanawaacha wale Wote wanaonitukana, wanaonishambulia, wanaonidhihaki na wanaonidhalilisha Kutwa hapa ni kweli wasinipige hiyo BAN ili niwaonyoosheni vizuri hadi mnyooke Wanafiki na Majuha nyie.
 
We mbwa mbona unamatusi hivi. Unamtukanaje Mtwa mkuu kiongozi wa walambwa wote jamii forum unapata wapi hayo madaraka mlevi mmoja wewe
Kama Mimi GENTAMYCINE unaniita MBWA hata na Mama yako nae ni MBWA vile vile.
 
Mbona kama kuna kitu kinakusumbua kichwani aliyekuambia yule mwanamke mnene ndiye final kiulinzi ni nani?

Na huyo ADC kwenye command ya Rais unayajua majukumu yake? Au ulifanywa vibaya na maparatropper Sasa hasira zako zinaishia hapa?

Intelligence unaijua wewe,

Mademu unawajua wewe,

Akili unazo wewe,

Mpira unaujua wewe,

Pole kwa unayopitia ni dhahiri , jamiiforum ni sehemu inayokupa faraja kwa threads zako za kiwaki.

Pia Kuna kasoro kwenye makuzi yako pole sana siyo bure mtu gani huna heshima.

Ukute huna hata hela ya kula masikini
👍👍👍💯💯💯
 


Mahakama Mbeya yatupilia mbali kesi ya Bandari walalamikaji kukata rufaa​

d2dcd05a-5648-4a28-a656-735d5d587e67.jpg

Humphery Mgonja
BBC Field Producer
Mbeya

BBCCopyright: BBC
Mahakama Kuu nchini Tanzania hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa inapinga mkataba (IGA) wa uwekezaji wa bandari baina ya serikali ya Tanzania na falme ya Dubai.
Kesi hiyo iliyofunguliwa katika mahakama kuu kanda ya Mbeya na walalamikaji wanne ambao walidai mkataba huo unaenda kinyume na matakwa ya Katiba.
Akisoma Hukumu hiyo Jaji Dastan Ndunguru amesema baada ya jopo la majaji wa tatu kusikiliza pande zote mbili mahakama imeamua kuwa hoja zote sita hazina mashiko hivyo kuamua kuwa Mkataba wa IGA hauna dosari za kufanya usitekelezwe.
 

Mahakama Mbeya yatupilia mbali kesi ya Bandari walalamikaji kukata rufaa​

d2dcd05a-5648-4a28-a656-735d5d587e67.jpg

Humphery Mgonja
BBC Field Producer
View attachment 2713454
BBCCopyright: BBC
Mahakama Kuu nchini Tanzania hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa inapinga mkataba (IGA) wa uwekezaji wa bandari baina ya serikali ya Tanzania na falme ya Dubai.
Kesi hiyo iliyofunguliwa katika mahakama kuu kanda ya Mbeya na walalamikaji wanne ambao walidai mkataba huo unaenda kinyume na matakwa ya Katiba.
Akisoma Hukumu hiyo Jaji Dastan Ndunguru amesema baada ya jopo la majaji wa tatu kusikiliza pande zote mbili mahakama imeamua kuwa hoja zote sita hazina mashiko hivyo kuamua kuwa Mkataba wa IGA hauna dosari za kufanya usitekelezwe.
Duuh we kokoo aiseee
 
Yeye kaona japo kitu ambacho anahisi kifanyiwe kazi kwenye ulinzi wa rais, akiwa kama RAIA anayetekeleza vizuri matakwa ya katiba 'Uhuru wa kutoa maoni' kwa viongozi na serikali.
Genta' kuyajua yote hayo ni dhahiri ni exceptional hapa jf.

Mpeni maua yake.
Mkuu kama wewe una muona Genta ni exceptional humu sijui wewe unajichukuliaje, au wewe ni moja ya wale mnaotamani muwe na wazazi ambao ni jirani zenu
 
Back
Top Bottom