Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.

Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.

Jafo amepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.

Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isingesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.

Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA,kampuni ya Simu ,Tanesco nk kila kitu walipeleka kwao na kujazana wenyewe
 
Tatizo la watu ambao makabila yao yanayochukuliwa poa hutafuta madhaifu ya yale makubwa ili wajihisi fresh, ni kujifariji tu.

Ndugu zangu wa kaskazini mnapigwa vita sana ila mimi nawakubali kwa ile spirit ya kutafuta na kupajali kwenu, endeleeni kuzisaka maana umaskini unadumaza hadi akili.
 
Kuna makabila kupewa tu uwaziri wa fedha au uwaziri wa mipango kila fedha zinaenda mikoa yao tu wakapewa ukuu Tanesco basi kila umeme kwao tu niradi yote walipeleka kwao maruhuni wakubwa Hadi migombani umeme unawaka

Jafo hongera kwa kujali nchi.Uhuru wa Tanzania ulianzia Pwani.Tanu ilianzia Pwani watu wa Pwani tunajali utaifa zaidi.Hongera Jafo kutuwakilisha vizuri watu wa pwani
 
tatizo la watu ambao makabila yao yanayochukuliwa poa hutafuta madhaifu ya yale makubwa ili wajihisi fresh, ni kujifariji tu.
Ndugu zangu wa kaskazini mnapigwa vita sana ila mimi nawakubali kwa ile spirit ya kutafuta na kupajali kwenu, endeleeni kuzisaka maana umaskini unadumaza hadi akili
Wachaga Wana individual spirit .They are individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
 
Wachaga Wana individual spirit .They individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
Sijapinga kama wanayo lakini si kila walichonacho kimetokana na wao kupata zile nafasi. Ukiisoma KCU plus mindset zao utaona hao jamaa wapo serious na maisha na ndio maana wanafika mbali..

Pia individualistic spirit ndizo zinawafanya wahindi wakuze nguvu yao popote wanapokuwa, Muhindi hawezi kuja kununua kitu kwako kama kuna muhindi mwenzie anauza.waswahili tupo open sana, no wonder tumekuwa dampo la bidhaa na makampuni ya nje
 
Ndugu zangu tuliochagua maendeleo tuendelee kutembea kifua mbele kwani sisi tulichagua maendeleo hata kabla ya uhuru na kabla ya azimio la Arusha. Hivyo vishindo vya majirani havitatusumbua. Tuendelee kusaka maendeleo kila penye fursa.
Sio Nyerere watu wa kaskazini aliwapa post kibao akijua mumesoma Sana kuliko makabila mengine akadhani mna utaifa mtasaidia nchi kumbe ukabila haujawaisha na elimu zenu.

Wachaga serious mlimwangusha Nyerere Sana.Aliwaamini kwa usomi wenu kuwa mna spirit ya kitaifa akawaweka kila Kona kumbe hamna kitu hamna National Spirit mnawaza machame na kishumundu tu hata msomeshwe ulaya na mpewe post kubwa
 
Tatizo la watu ambao makabila yao yanayochukuliwa poa hutafuta madhaifu ya yale makubwa ili wajihisi fresh, ni kujifariji tu.

Ndugu zangu wa kaskazini mnapigwa vita sana ila mimi nawakubali kwa ile spirit ya kutafuta na kupajali kwenu, endeleeni kuzisaka maana umaskini unadumaza hadi akili.
Wanaotupiga Vita ni hawa maskini wacheza Bao wa pwani hahaha mimi uzuri mmoja ninawabana kila kona wanapoandika ushuzi wao, eti wanajivunia umaskini wao hahaha walikataa kusoma sasahivi wanalia lia hahaha eti wametukaribisha? Tulitumia fursa kutokana na uvivu wao
 
Tatizo la watu ambao makabila yao yanayochukuliwa poa hutafuta madhaifu ya yale makubwa ili wajihisi fresh, ni kujifariji tu.

Ndugu zangu wa kaskazini mnapigwa vita sana ila mimi nawakubali kwa ile spirit ya kutafuta na kupajali kwenu, endeleeni kuzisaka maana umaskini unadumaza hadi akili.


Katika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga🤔!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga🤔🤔hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
 
Kuna makabila kupewa tu uwaziri wa fedha au uwaziri wa mipango kila fedha zinaenda mikoa yao tu wakapewa ukuu Tanesco basi kila umeme kwao tu niradi yote walipeleka kwao maruhuni wakubwa Hadi migombani umeme unawaka

Jafo hongera kwa kujali nchi.Uhuru wa Tanzania ulianzia Pwani.Tanu ilianzia Pwani watu wa Pwani tunajali utaifa zaidi.Hongera Jafo kutuwakilisha vizuri watu wa pwani
Wewe maskini wa pwani napenda kukufahamisha,umeme kilimanjaro upo tangu enzi za zamani Mambo ya REA hatuyajui unamulika migomba,hii ni kutokana na usomi wa watu wa huko
Wewe endelea kujivunia umaskini
 
Wachaga Wana individual spirit .They are individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
MTU KWAO
 
Katika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga[emoji848]!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga[emoji848][emoji848]hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
Umeongea kwa uchungu sana .. Shemeji i hope haijui ID yako [emoji4][emoji4]

Inshort bongo hii tulitakiwa tujifunze kwa makabila yaliyofanikiwa na sio kuyachukia. Kama hapo Geita ni kweli, unakuta mtu ana ng'ombe wengi na anatengeneza pesa ndefu ila nyumba ni kituko. Kuna mikoa umeme wa REA umekuta tayari systems zipo maana wazawa waliwekeza wenyewe. Kuna sehemu ukienda private schools hadi vijijini na wanaosomesha ni wakulima ila matokeo ya kitaifa wakifanya vizuri, unaona hate tu kuwa walipendelewa na wakoloni daahh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom