Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Sio Nyerere watu wa kaskazini aliwapa post kibao akijua mumesoma Sana kuliko makabila mengine akadhani mna utaifa mtasaidia nchi kumbe ukabila haujawaisha na elimu zenu.

Wachaga serious mlimwangusha Nyerere Sana.Aliwaamini kwa usomi wenu kuwa mna spirit ya kitaifa akawaweka kila Kona kumbe hamna kitu hamna National Spirit mnawaza machame na kishumundu tu hata msomeshwe ulaya na mpewe post kubwa
Ulitaka tufanyeje? Nyie kipindi hicho si mlikuwa busy kucheza bao? Mkakataa elimu sasa maendeleo mngepateje? Chagas Wana spirit ya maendeleo acha wivu ,mchaga hata kama hajasoma unakuta Ana maendeleo makubwa ,kuzaliwa uchagani tu Ni degree ya maendeleo [emoji3][emoji3] karibu uchagani upate semina ekekezi
 
Sijapinga kama wanayo lakini si kila walichonacho kimetokana na wao kupata zile nafasi. Ukiisoma KCU plus mindset zao utaona hao jamaa wapo serious na maisha na ndio maana wanafika mbali..

Pia individualistic spirit ndizo zinawafanya wahindi wakuze nguvu yao popote wanapokuwa, Muhindi hawezi kuja kununua kitu kwako kama kuna muhindi mwenzie anauza.waswahili tupo open sana, no wonder tumekuwa dampo la bidhaa na makampuni ya nje
Mpe ukweli huyo hadi chuki zake ajionee aibu
 
Mikoa ya ndugu zetu kabila kubwa ni tatizo kiasi. Ni watu hardworking sana ila naona kama wanatumia nguvu zaidi kuliko maarifa na labda kwa nguvu ya kusoma waliyonayo kwa sasa,pengine itawasaidia plus exposure



Sure!hawatumii akili kbs..ila watabadilika..nimekutana na mchaga mmoja tu..bas naye anajuaga mm mchaga..!watachange tu !
 
Ndugu zangu tuliochagua maendeleo tuendelee kutembea kifua mbele kwani sisi tulichagua maendeleo hata kabla ya uhuru na kabla ya azimio la Arusha. Hivyo vishindo vya majirani havitatusumbua. Tuendelee kusaka maendeleo kila penye fursa.
Ameen Sisi maendeleo tu,wao waache waendelee kupiga majungu,pâle kimara tumewahamisha wote tumehamia tuangoma[emoji3][emoji3]
 
Ulitaka tufanyeje? Nyie kipindi hicho si mlikuwa busy kucheza bao? Mkakataa elimu sasa maendeleo mngepateje? Chagas Wana spirit ya maendeleo acha wivu ,mchaga hata kama hajasoma unakuta Ana maendeleo makubwa ,kuzaliwa uchagani tu Ni degree ya maendeleo [emoji3][emoji3] karibu uchagani upate semina ekekezi


Ahaaha wakat nyie mnazichanga wenyewe kutwa ngomani..marakumtoa mwali..mara kumcheza mtot..eish!tunyosheeni tu kwakweli
 
Nna shemeji yangu mchaga[emoji848]!kiukweli wachag acha tu .yaan hakai bure bure ..muda wote anachekecha akili .na hapo ana hela had anaumwa!
Mkoa wa Mwanza una baraka na fursa mob lakini duh...anywsy!
Mchaga akipata milion anawaza kupata ya pili,akiwa na nyumba moja anawaza ya pili nk,Hawa ndugu zetu akiwa na laki mbili anawaza kuongeza mke alafu mwisho wa Siku anaanza kuona wivu
 
Mchaga akipata milion anawaza kupata ya pili,akiwa na nyumba moja anawaza ya pili nk,Hawa ndugu zetu akiwa na laki mbili anawaza kuongeza mke alafu mwisho wa Siku anaanza kuona wivu


Wananambia wanaoa wake wengi ili wawasaidie kulima..nikahoji..ukilima eka 2/ na wake zako hao wawili je unapata mavuno kias gan??anakuambia gunia 5🤣🤣 mitoto 22...unaishia kumuuliza ww ni timamu?
Anakuambia nazaa watoto wengi waje wawe wachunga ng'ombe .hiz sio stry sio za miaka ya nyuma..ndo wanaishi hvyo wajomba zangu!
 
Wanaotupiga Vita ni hawa maskini wacheza Bao wa pwani hahaha mimi uzuri mmoja ninawabana kila kona wanapoandika ushuzi wao, eti wanajivunia umaskini wao hahaha walikataa kusoma sasahivi wanalia lia hahaha eti wametukaribisha? Tulitumia fursa kutokana na uvivu wao
Wewe mwanamke nini!!? Mbona ukiongea unachekacheka sana.. Au ndo siyo riziki
 
Wachaga Wana individual spirit .They are individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
UKIONA MTU ANALETA SIASA ZA MAJIMBO KAMA HIVI NI DALILI ZA KUFILISIKA KIHOJA/KISIASA NI WA KUOGOPA KAMA UKOMA. JAFO KACHEMSHA SASA MNAMTAFUTIA PA KUEGEMEA ILI KUMTETEA.
 
Back
Top Bottom