Watu wa Stationery tunaomba serikali ichunguze kupanda kwa bei za karatasi na vifaa vingine

Watu wa Stationery tunaomba serikali ichunguze kupanda kwa bei za karatasi na vifaa vingine

Dah ni kweli , katoni moja ya limu nikuwa nanunua kwa sh 36,000 Mimi nauza sh 12,000 kwa reje reja, hii ilikuwa mwezi wa nane Hadi wa kumi mwaka jana, imeenda inapanda Hadi kwa Sasa Ni sh 72,000 kwa katoni , hii imepelekea niachane na uuzaji wa limu kwa mazingira niliyopo, maana ili nipate faida itanibidi niuze kwa sh 17,000 Hadi 20,000,kitu ambacho Ni ngumu.
 
Tanzania tuna kiwanda cha karatasi cha Mgololo kilichopo Mufindi Iringa! Kwa bahati mbaya kinazalisha makaratasi ya kaki tu!

Ili kupata karatasi nyeupe, inatulazimu kama nchi kuagiza kutoka nje.
Sasa kaki ndo rimu? Una akili weee? Kiwanda kimekufa toka 2002 huko
 
Kwanza ni aibu nchi haina kiwanda cha karatasi nyeupe.

Haya tuwasubiri MATAGA waje hapa watueleze vile viwanda 100 kila mkoa vilikua vya nini.

Na aliyesema bei zipande vipi ametoa waiver kwa wanakijani au maumivu kwa wote?
 
Dah ni kweli , katoni moja ya limu nikuwa nanunua kwa sh 36,000 Mimi nauza sh 12,000 kwa reje reja, hii ilikuwa mwezi wa nane Hadi wa kumi mwaka jana, imeenda inapanda Hadi kwa Sasa Ni sh 72,000 kwa katoni , hii imepelekea niachane na uuzaji wa limu kwa mazingira niliyopo, maana ili nipate faida itanibidi niuze kwa sh 17,000 Hadi 20,000,kitu ambacho Ni ngumu.
Katoni moja inazo limu ngapi?
 
Hadi maziwa fresh yamepanda na mayai ya kuku wa kienyeji yamepanda
 
Back
Top Bottom