1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Kauli zenu zinatufanya tujione wanyonge,,
[emoji117] "yaan hapa hakuna mzunguko" kabisa wa pesa
[emoji117] "yaan hata weekend hakuna pa kwenda"
[emoji117]" nimekuja mara moja kumcheki mother kesho nasepa'
[emoji117]"nimekuja ktk sherehe mara moja kesho nasepa"
muwe mnakaa hata week basi ujue tume wa miss[emoji16] [emoji16]
CHA AJABU nikiingia town kwao huwa wengine wananikwepa, utawaaskia "leo niko bizee joh kesho ntakuchek"
kesho hapatikani, basi mi nafanya yangu then nageuka mkoa[emoji1]
[emoji117] "yaan hapa hakuna mzunguko" kabisa wa pesa
[emoji117] "yaan hata weekend hakuna pa kwenda"
[emoji117]" nimekuja mara moja kumcheki mother kesho nasepa'
[emoji117]"nimekuja ktk sherehe mara moja kesho nasepa"
muwe mnakaa hata week basi ujue tume wa miss[emoji16] [emoji16]
CHA AJABU nikiingia town kwao huwa wengine wananikwepa, utawaaskia "leo niko bizee joh kesho ntakuchek"
kesho hapatikani, basi mi nafanya yangu then nageuka mkoa[emoji1]