Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Mnanikumbusha utotoni tukienda kumtembelea bibi sisi wa Dar ndio tulikuwa ma star, wa mikoa mingine wanasubiri...naona wa mikoani mnaendeleza bifu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeonaaaaa eee mtu alikwambia anakaa apartment kama ya Lemutuz kumbe kagodoro kamesombwa na mafurikoo thubutu

KAMA JIWE ANAPENDA SIFA SEMBUSE BINADAMU KAMA DEMISS THUBUTU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaziimba ka wamemeza CD, na kile kiswahili chao sasa
Zamu ya nan leooo [emoji4][emoji2][emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445]

Zamu ya manifongooo[emoji444] [emoji445] [emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji442] [emoji442]

Zamu yako itafika usijali baria wanguuu[emoji442] [emoji442] [emoji444] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…