Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ungechekesha alafu unachana pembeni unavaa na taiti maajabu umvishe mbibi wa kijijin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ungechekesha alafu unachana pembeni unavaa na taiti maajabu umvishe mbibi wa kijijin
Hawafai[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan nitakoma na transfoma ilivyozingua siku mbili
Let's waitI cant help but wait.......
Hapana wote wa DarNi wa mkoani waliokuja dar kutafuta maisha
Nimemshtukia muda sanaEwaaaaa
Nawe ushashtuka eeh
Kwahiyo hao mnawaitaje?Hao ndio wanafujo kweli kweli...ujuaji mwingi
Hao watakuwa WAKUJA!Nilitambua hawana magari mvua zilipoanza kunyesha
Dada mbavu zina usalama[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyie ndo washambaNa ushamba hauwezi kuwaisha leo
Nimepata kikohozi baada ya kuona avatar yako.Hapana wote wa Dar
Woiiii naanzaje kuishi huko jamani niko zangu mbezi kwa msuguri mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio utoke huko sinza uhamie masaki maana ndio sehemu zenu za kuishi,
Wengi wa mkoaniHapana wote wa Dar
Sisi tena tumekuwa washambaNyie ndo washamba
Yaani acha tuu jamaniDada mbavu zina usalama
Wanabond makope mawigi wanajipaka mapoda wanakuwa kama manyauuu makuchaaa kama wanaenda kumenya karanga maajabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kikohozi tena?Nimepata kikohozi baada ya kuona avatar yako.
Inabidi unipe namba zako tuu aki, transformer ikileta shida nikupigie tushaurianeNimemshtukia muda sana
Kivipi wapo Dar au Mkoani?Wengi wa mkoani
NdioooSisi tena tumekuwa washamba