Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Ukienda kwao eheheeheheh balaaaaaaaa wote wanakaaa Sinza na Masaki hawajawahi kusema nakaa Tandale au kwenye pagale la Boss wangu nimeziba chumba kimoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena waache hizo tabia, na wakija mikoani wanavyojua kutudanganya sijui kwanini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Demiss hurumia mbavu zangu
Acha kabisa mmoja alisema amenunua gari akajua mm mshamba ile nimesimama Kituo cha Msikitini kama unatoka mbagala kwenda kwa Azizi aly ghafla Vix hili hapa la mkonge kucheki nyuma lina namba za STL nikasema moyoni weeeee shuziii kweli akasema gari yangu hhii nimetoka ofisini mara moja anajua mm wa mkoani mshamba.


Tukaenda mpaka Girrafe hotel kama Afrikana kunywa mbili tatu kama baada ya nusu saa simu ikaita akaenda kupokea akaja akaniachia hela ya nauli ya tax akasema anarudi ofisin kuna kazi ghafla

MOYONI NIKASEMA WEWE SHUZI NI DEREVA WA SERIKALINI USIONE NIMETOKAA MKOANI UKAZANI NITABABAIKA NA GARI KWENDRAAAH NA BLOCK JUUU

wanaume wa dar wana dhambi
 
Kuna wadada wapo huko kipindi bado mdogo wakaja na mazawad masimu makubwa surual wamesuka manywele marefu wakasema wanafanya kazi Posta Red onion hotel

Sasa mwaka jana nikatimba huko nikaenda bar moja inaitwa Fair way kama unaenda Bunju katikati ya Tegeta na Boko eeeh nikakuta ni wahudumu wa Bar

Cha ajabu watoto wao wamewaacha mkoani ikabid waniambie nitunze siri nikawaambia nataka nije mnapokaa lahaulaaaaaa

Chumba kimoja wanakaa watu 9 Ila siku wakirudi mkoani huwa tunakoma watoto weupeee Demiss miye mpaka nataman nipake Mkorogo wa Maimartha wa Jesse nifanane nao.


Na yale manywele wanayarusha kama wakorea nywele mpaka gutako zinafika hapo Demiss nimesuka twende kilioni.

Wadada wa dar mna dhambi kama kaka zenu

Hawa ndo wanatuharibu sisi wa mkoani
Usiiwaigee...
Mie wananiaga kwa mbwembwe tukija tukuletee nini my dear!! Huwa nasema tuu chochote, wacha waje tena msimu ujao, holla ... Nshawazoea wala hawanisumbui kabisaaa
 
Yap na ufikeeee tu na siku hizi nasikia Dar wanakodisha magari kwa sikuuu elf 20,
Anakodi anakufata nalo mpaka ubungo unasema bwana si ndo huyu anakupeleka kwenye zile nyumba za Mbweni wanazoachiwaga na matajir kusimamia zisichafuke unasemaaa eeeh mm ndo mother house wa mjengo looooooh wanaume wa dar mna dhambiii
Tuachie kaka zetu[emoji13]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani dar wanawake kwa wanaume ni matapeli.

Safari hii nikija uje kunipokea ubungo
Nakuja jamani msitufanyie hivyo ukifika kibaha tu mm nimeshafika ubungo
 
Back
Top Bottom