Mtuacheee na madaladala yetu wivu tuWaongo sana hao wasituvuruge akili, wanajifanya wajanja wakati hamna kitu ujanja wao ni kugombania siti kwenye daladala kwa hilo nawapongeza mengine hamna kitu.
Kama wewe ndo sina hamu kabisaaa aki, hivi ile siku ulisema ulikuwa busy simu ukaisahau kwa gari eeeh!!!tabia mbaya hiyo dada
Nipo poa kaka angu hofu kwako tumarahaba dada angu uko poa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF siku hizi imejaa watu wa mikoani tabu tupu. Faraja yao kutukana watu wa Dar!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ney chizi sana
We cheka tuu jamani, hivi ngeenda wapi mimi!!! Navyojuaga kulia sipati pichaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana
Umeonaaaa eeewh wakija mkoani wanashangaaa umejenga mjengo wanaumia kimoyo moyontaamia nikiwa nikiwa na fweza ya kutosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungemtafuta mbebez wakoWe cheka tuu jamani, hivi ngeenda wapi mimi!!! Navyojuaga kulia sipati pichaaa
Hapo kwa mbuzi poa sana tuu!!!Kumbe wote hatuli safi sana tutaenda kula mbuzi basi hela ya malta ipo tu sio ya kukusanya
MBAGALA unapandia gari dirishani wamkoani nimezoea napanda gari unaaanza kusubiria watu maajabuWaongo sana hao wasituvuruge akili, wanajifanya wajanja wakati hamna kitu ujanja wao ni kugombania siti kwenye daladala kwa hilo nawapongeza mengine hamna kitu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaboa eti watuvalishe madera kwenye harusi maajabu?
Sisi tumezoea kushona wax magauni mazuri maderaaaa loooh utamvalisha nan deraaaa?
[emoji125][emoji125][emoji125]Kama wewe ndo sina hamu kabisaaa aki, hivi ile siku ulisema ulikuwa busy simu ukaisahau kwa gari eeeh!!!
Wewe cheka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
Teh teh tehHuhuhuh! Ata mbagala hujawaji pasikia?? Pole sana hii fursa sasa njoo nitagharamia kila kitu, kama umeolewa uage kabisa siyo uko huku dsm mumeo anapiga simu usiku.[emoji7]
niko poa tuNipo poa kaka angu hofu kwako tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watakuja na gari za kuazima kwa siku elf 20 unasema maisha ndo hayaaaaa
Nyumba wanazoishi ni za maboss wao waliohamishiwa dodoma unasemaaa ebwaanaaeee watu wana maisha kumbe ushuziiii
Hivi kwa mafuriko yale, Nani ataonekana? Hakuna atakayethubutu kukuonyesha kwakehahaha, cha ajabu nikitimba town hamuonekani
Power bank situmiagi mie na wala siipendiHapo kwa mbuzi poa sana tuu!!!
Lazima nikujeee, halafu uchaji na ile power bank basi
tell them [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatuwatukani tunawaambia ukweli mpunguze sifa jamani watu wa dar khaah
Bahati mbaya iwe weekend sasa, yuko na dadangu!!! Nitalia na nani mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungemtafuta mbebez wako