Watu wa vijijini ndio wenye utu na upendo halisi

Watu wa vijijini ndio wenye utu na upendo halisi

mhogoz

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
739
Reaction score
1,195
Hawana Hila Wala chembe ya uigizaji,wao wanayaishi maisha katika uhalisia wake,mijini kumejaa maigizo ,utapeli ,na Kila uovu usio na kikomo.
 
Vijijini wanaua watu wakidai ni wachawi , ukiwa na pesa kidgo tu freemason ,ukijenga nyumba nzuri unaonewa wivu , wanabaka ovyo , wanaua albino , wafuatiliana maisha , na mambo mengine ya kishamba sna.
 
Vijijini wanaua watu wakidai ni wachawi , ukiwa na pesa kidgo tu freemason ,ukijenga nyumba nzuri unaonewa wivu , wanabaka ovyo , wanaua albino , wafuatiliana maisha , na mambo mengine ya kishamba sna.
Hapa Kuna ukweli mkuu
 
Hapana siyo kweli kabisa mjini pia wapi wenye upendo na

utu halisi... Ni kwamba tu watu wa mjini ni wengi waliyo vijijini ni wacheche, hivyo watu wenye utu na upendo wapo wachache kiasi cha kuona hawapo kabisa..
 
Hawana Hila Wala chembe ya uigizaji,wao wanayaishi maisha katika uhalisia wake,mijini kumejaa maigizo ,utapeli ,na Kila uovu usio na kikomo.
Siyo kweli kabisa... Wapo watu wanao ishi maisha ualisia... Mimi mmoja wapo.. sema uchache wa hao watu una fanya kuona kuwa hawapo kabisa.
 
Back
Top Bottom