"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Mama Samia yuko vizuri sana. Tafuta clip alipomtembelea Tundu Lissu pale Hospitalini Nairobi. Utamfaidi Samia orijino yaani bila zile mbwembwe za kisiasa. Mama mmoja mtamu saaana.
Naunga mkono hoja
P
 
Mkuu Hassan J. Mosoka , duh...!. hizi kauli nyingine hizi!.
P
 
Mkuu Mindi , naunga mkono hoja
P
 
Umeanza Tena kujipendekeza kwa uyu RAISI mpya[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Humu jf tuna vilaza wengi kuliko tunavyo jidhania!. Ukikutana na thread yoyote, kabla hujachangia, kwanza angalia ni thread ya lini, unaweza kuchangia hoja zako ukijijua unachangia kitu cha maana, kumbe ni utumbo mtupu!.
Pole!.
P
 
Nawatakia maadhimisho mema ya Sikukuu ya Muungano .

Paskali
 
Nashauri hata katiba, watu waruhusiwe kuijadili katiba.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…