"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

hahahaaa Zamu yake sasa
 
kipindi hicho SSH hajajitoa ufahamu na kuungana na akina Kagama , Bokassa, Iddi Amin, Nkurunziza, Moboto, na wenzao .
 
Mkuu DASM , siku zote humu jf, mimi ni mkweli Daima kwa kuusema ukweli uliopo no matter what. Nimeandika mengi kuhusu muungano, hili ni moja ya mabandiko hayo.
P
 
Ni katika kunikumbusha tuu, hotuba ya Rais Samia UN, imezidi kudhihirisha I was dam right nilipoyasema haya!.
P
 
Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
I'd like to differ, its the other way round,
na 2025...Utashangaa!.

P
 
Duh na wewe kumbe ni mnafiki! Sikujua Hilo. Ulimsifu Sana jpm kuwa ni masihi mpaka ukaunga juhudi, Sasa unajiweka Tena kwa Mana akuone. Hivi huiamnj kabisa kuwa unaweza kuishi bila kulamba lamba watu?
Angalia hoja za bandiko hili na angalia tarehe ya bandiko hili.
P
 
Kama una maono kwa nini ujaona na ...
Karibu
P
 
Umechambua vyema na ulifanya hitimisho zuri. Sometimes unakuwaga na akili kumbe.
 
Ni wapuuzi wachache tu watakao puuzia thamani yako humu JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…