"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Tuchague viongozi wenye sauti nzuri ili nchi iendelee kiichumi, ninampendekeza mke wangu mzaliwa wa Nzega akiongea uthadhani anaimba.
 
Tuchague viongozi wenye sauti nzuri ili nchi iendelee kiichumi, ninampendekeza mke wangu mzaliwa wa Nzega akiongea uthadhani anaimba.
Mkuu elvischirwa, nimezungumzia kuongea vizuri, na sio sauti nzuri. Viongozi wetu wanapaswa kuongea vizuri, kauli huumba!. Viongozi waongee vizuri, watoe kauli njema, ili kuwaumbia mema watu wa nchi yetu.

P
 
Ukiwa na sauti nzuri lazima utaongea vizuri.
Not necesarily, wako wadada warembo, wana sauti nzuri, laini, nyororo, ambao walipaswa kuwa na sauti tamu kama asali, but its the oposite, wana sauti chungu kama shubiri, wanatema nyongo yenye sumu kali mwanzo mwisho!.
Na wako watu wana sauti mbaya, ya ukali, wanatema madini hatari!.
P
 
Mayala hujachoka kusaka uteuzi? Tatizo huna connection
Mkuu Last emperor, uteuzi unasakwa kwa VP?.
Mkuu..
mimi naona unamtamani Mama yetu...
Sio kwa sifa hizi...Secret admirer....
Duh...!, Mkuu Teknocrat, hapo nimesifu kidogo tuu, unasema eti nimetamani!, mbona hivi ni vitu vya kawaida sana kwa00 binadamu!. Mimi ni binadamu tuu, I'm a human being like all other human beings, and she is a human being too!, hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote, kuwa a secret admirer wa mtu yoyote, ila mimi sio a secret admirer, mimi ni open admirer!. Kama bandiko hilo wewe unaona ndio nimesifia sana mtu, jee ungeona bandiko hili, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” ungesema nini?, au jee ungemjua mtu aliyesifiwa hapa ni nani, ungesemaje? Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Tena msidhani nimeanza kum observe leo, angalia tarehe ya bandiko hili New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!. na uangalie nilisema nini juu ya mtu huyu?.

Kisha angalia hapa uone hii ni ya lini, Wajue The Top Five Most Prominent Members wa Bunge Maalum la Katiba!.

Twende hapa angalia hii ni ya lini, na anayezungumzwa ni nani, Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Kama wewe una uwezo, to read in between the lines, angalia bandiko hili, nilisema nini kumhusu mtu huyu na nilimshauri nini Blaza kuhusu 2020!.
P
 
Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf well wishers, tuungane kumu wish a Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya.
Happy Birthday.
P
 
Hili ni bandiko la 2020, angalia ushauri uliotolewa hapo.
Tuwatakie maandalizi mema ya siku ya wanawake duniani hapo kesho.
P
 
mi naona sawa tu ila kwakuwa maisha yamekuwa ghali, kuna mfumuko wa bei , na vijana wanakimbia mashambani kuja kuendesha bodaboda mjini, MAMA samia aitishe tume huru uchaguzi ufanyike, mshindi atangazwe kihalali, lakini inshort CCM wapishe , miaka 60 ya u askini inatosha.
 
Nakuunga mkono Jaji Mfawidhi , tatizo sio CCM kupisha, tatizo ni CCM wampishe nani?.
P
 
Leo ni Sikukuu ya Muungano, nachukua fursa hii kuutafakari Muungano wetu adhimu, kupitia hoja mbalimbali za kimuungano.

Nawatakia maadhimisho mema ya muungano na mapumziko mema.
P
 
Hii ndio inaitwa Flight of Ideas.

Heading inazungumzia mambo ya muungano...

Paragraph ya kwanza uzuri na sauti ya mama samia....

Paragraph ya pili urais wa zanzibar.....

Paragraph ya mwisho urais wa jmt....

Which is which?
Unforgetable
Mkuu Kingsmann , hizi flights ideas zinapokuja ku materialize, zinageuka kuwa ni maneno ya unabii!, hivyo next time ukikutana na flights ideas, uzizipuuzie!. Mungu huzungumza na waja wake kwa namna nyingi!.
p
 
Kwa hiyo umeamua kujadili Mama yetu Samia Suluhu Makam wa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..

Nenda kituo chochote kilichojirani na wewe kwa mahojiano zaidi.
Mkuu idawa , kwenye the freedom of expression, mtu unaruhusiwa kujajidili jambo lolote as long as huvunji sheria!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…