BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Ufupi usikufanye ujisikie vibaya na kukufanya utumie nguvu kubwa kusaka attention inabidi ujivunie maana hata sisi warefu tunapenda wanawake wafupi yaani sweet and short.[emoji1787]Wanajishtukia sana lakini kimsingi ni watu ambao tunawaheshimu na kuwapenda. Ufupi sio ulemavu ni maumbile kama ilivyo urefu, unene au wembamba.
Ufupi usikufanye ujisikie vibaya na kukufanya utumie nguvu kubwa kusaka attention inabidi ujivunie maana hata sisi warefu tunapenda wanawake wafupi yaani sweet and short.
Be proud
Sawa mkuu tumekusikia na tutafanyia kazi maoni yako.Wanajishtukia sana lakini kimsingi ni watu ambao tunawaheshimu na kuwapenda. Ufupi sio ulemavu ni maumbile kama ilivyo urefu, unene au wembamba.
Ufupi usikufanye ujisikie vibaya na kukufanya utumie nguvu kubwa kusaka attention inabidi ujivunie maana hata sisi warefu tunapenda wanawake wafupi yaani sweet and short.
Be proud
Hahahahaha
Si mpaka huyo mrefu akubali.Ukijiona mfupi oa ama olewa na mtu mrefu zaidi yako ili kunusuru kizazi chako.
Vidonge ni mzigo best way ni kuwafanyia counseling[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda wanywe vidonge vya kujiamin maneno tu hawawezi kukusikiliza
Ngumi mkononi ni matokeo ya kutojiamini.. [emoji23]Mbona Kama mnatusemea jamani,sisi tunajiamini na ndiyo maana ngumi mkononi[emoji855]
Pole sana cute😆Mbona Kama mnatusemea jamani,sisi tunajiamini na ndiyo maana ngumi mkononi🤒
Ndo nimemaanisha pia🤣🤣Ngumi mkononi ni matokeo ya kutojiamini.. [emoji23]
🤣🤣🤣🤣inasikitisha sana 🙄Pole sana cute😆
Mshana acha hizo bwana, kwani we umeoa mwanamke mfupi ?!Ufupi usikufanye ujisikie vibaya na kukufanya utumie nguvu kubwa kusaka attention inabidi ujivunie maana hata sisi warefu tunapenda wanawake wafupi yaani sweet and short.[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app