Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Anahangaikia umaarufu wa jf itakuwadogo punguza sasa..kila mara uzi tusome upi tuache upi.halafu nyuzi zote pumba tuu.
Anahangaikia umaarufu wa jf itakuwa
Kama yule mmoja anae jiita junia sijui.umaarufu humu utakusaidia nini..
🐔 Wapodogo punguza sasa..kila mara uzi tusome upi tuache upi.halafu nyuzi zote pumba tuu.
Tatizo la watu wafupi ni mifumo kuwa karibu, unakuta mfumo wa akili upo karibu na mfumo wa chakula na w chakula karibu na wa taka. Ndio shida hiiHi
Ukitaka kujua watu wafupi wana hasira tegea siku anasoma tangazo la kazi halafu anasifa zote za hiyo kazi iliyo tangazwa lakini mwisho wa lile tangazo wakasema lazima awe mrefu.
Utaona atakavyo react hapa kuna rafiki yangu kashaaza kusoma thread za motivation [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo la watu wafupi ni mifumo kuwa karibu, unakuta mfumo wa akili upo karibu na mfumo wa chakula na w chakula karibu na wa taka. Ndio shida hii
Wafupi ukiwalinganisha na nani?
Wafupi ukiwalinganisha na nani?
binti mfupi halafu mweupe. aloo😘
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui nacheka nn hata.Anahangaikia umaarufu wa jf itakuwa
Sio genye kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui nacheka nn hata.