Watu Wafurika kumuangalia Zari Mlimani City.

GUYS, I MAY BE A BIT OLDER BUT I HAVE TO ADMIT THAT ZARI IS A VERY BEAUTIFUL LADY WITH EXCELLENT COMPOSURE , STRIKING PERSONALITIY AND VERY INTELLIGENT.
MAY BE YOU GUYS/LADIES CAN HELP ME IN COMPARING HER WITH ANY OF OUR SO CALLED BEATIFUL DAMSELS
 
Yup!

Mdada ni mzuri haswa!

Kuna wengine hata kupata mimba hawajawahi, umri wako sawa na Zari au ni wadogo kidogo, lakini machoni hawatamaniki.

Mtu ana miaka 30 na kitu lakini utadhani ni mbibi wa miaka 60!
Huyu ndio First Lady wa bongo
 
GUYS, I MAY BE A BIT OLDER BUT I HAVE TO ADMIT THAT ZARI IS A VERY BEAUTIFUL LADY WITH EXCELLENT COMPOSURE , STRIKING PERSONALITIY AND VERY INTELLIGENT.
MAY BE YOU GUYS/LADIES CAN HELP ME IN COMPARING HER WITH ANY OF OUR SO CALLED BEATIFUL DAMSELS
Mzuri ni yule asiyetumia make ups
Asubuhi akimka hapo ndipo tutataka kumuona zari alivyooo

Ova
 
Unatafuta kik kwa niaba ya Mond![emoji32][emoji32][emoji32]
 
Wakati mwingine Mwenyezi Mungu akishakuwekea YES ni vigumu kwa mwanadamu mwingine kuifuta na kuandika NO.

 
Ndiyo maana mbwembwe nyingi,kutoka kuogea sabuni ya mkaa mpaka kufikia "GIV"kwake ni hatua kubwa,sijazungumzia kukatika katika video kwa malipo ya shuka la mmasai.
Daaaaahhhh Mkuuu acha kabisaaaa ,yaaaaan mbwembwe zimezidi aiseeeee hakijiaminiiiii kabisaaaaaa sasa mtizame mwenzake ZALI ,, hana presha ..mtoto katulia
 
Ila wabongo shikamo kwa shobo juzi nilikua Uganda on indepence day. Hakuna mganda alimshobokea Mondi njo sasa huku. Mpaka sometimes naona aibu kusema mi Mtanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…