Mwenyekiti wa parole Lyatonga Mrema na mpenzi wakeNdiyo kina nani hawa?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] niliona ile mkuu.Yuko vizuri ila kuna mtu alipinga akasema Hao GSM kumchagua Zari wamekosea sana
AmelalaJoseverest
Hahahhaaha Mungu anakuona ujueMwenyekiti wa parole Lyatonga Mrema na mpenzi wake
vipi hizo nywele ni zake.nitoe ushamba usinicheke unajua sisi tunapaka mafuta ya Nazi nywele ni kama vibamia hazikui na saloon za buku tenHuyo kashapewa majibu yake naona.
mbona wewe umeacha shughuri zako leo nyerere day unasoma na kuandika kwenye uzi wa ZARIHvi mtu na akili zako unaez acha mishe zko ukamshanglie zali
mlikuwa mnatudanganya zamani.Youtube na video tumeziona wewe ulikuwa Uganda au ukumbi gani mpaka hata kama hukusikia hata kuona ulishindwa.nyomi yote ile.WABONGO WAONGO!! KWAHIYO BUKOBA ULIPOENDA NI UGANDAIla wabongo shikamo kwa shobo juzi nilikua Uganda on indepence day. Hakuna mganda alimshobokea Mondi njo sasa huku. Mpaka sometimes naona aibu kusema mi Mtanzania
mbona wewe umeacha shughuri zako leo nyerere day unasoma na kuandika kwenye uzi wa ZARI nu akili kweliHvi mtu na akili zako unaez acha mishe zko ukamshanglie zali
Bahati nzuri mwanaume huwa hasifiwi kwa rangi. Kama we ni mwanaume pole sana... ila unaweza kubadilika ukiamua.Nyie kwa rangi hizo atawaangalia nani? Lazima muone wivu.
Kumuangalia unasema unapiteza muda kumbe daily unakesha nae instagram
Halafu lawama kwa Magufuli, pumbavu kabisa.Kuna binadamu wana muda..
Huyo kama siyo shoga atakuwa Mcongo.Bahati nzuri mwanaume huwa hasifiwi kwa rangi. Kama we ni mwanaume pole sana... ila unaweza kubadilika ukiamua.
Nione wivu mtu kuangaliwa? Mtu mwenyewe malaya??? Lazima kuna tatizo kwenye oblangata yako
kweli kabisa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] niliona ile mkuu.