Watu Wafurika kumuangalia Zari Mlimani City.

Bora umeliona hilo asee... hebu imagine hapo kuna mianaume nayo imo!!!

Namwomba Mungu binti zangu wasiolewe na mianaume ya namna hiyo....

Eti mwanaume anafunga shughuli zake kwenda kumwangalia Zari...

Dah!
Subiri kina Team ushuzi wakuite hater, nawaonea huruma sana wanasiasa wa nchi hii kama kweli wanadhani wanawatetea ili kuwakombowa Watanzania ukweli ni kwamba wanajidanganya.

Ccm inastahili kutawala milele kwa sampuli ya raia tulionao. Ccm inawajuwa vizuri Watanzania.
 
Halafu watu walitaka akina mobetu sijui Flavian

Hivi mafuriko yangekuwepo kweli

Hongereni gsm
Ccm wamuongeze na Zari kwenye Team ya kampeni mwaka 2020 ushindi wa kishindo unakuja.

Hawa ndio Watanzania, sasa naanza kuelewa ni kwa nini ndugu zetu wa visiwani tukiwa nao ulaya wanajitambulisha wao ni Wazanzibar jibu nimeshalipata.
 
Wadada wa bongo watambue thamani zao ama sivyo kina zari watapiga sana hela wao wamekaaa huku wamebung'aa
 
Walitaka wamchukue mamake nini? Huyo ni biashara sio benders ya nchi. Hamissa au Wema. Kajala. Fesa Kessy. Au nani? Hasa wote awana mvuto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…