Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello morning!!
Mimi ni miongoni mwa watu wenye tabia za upole na aibu.
Upole na aibu havina faida yoyote kwenye maisha ya mtu.
Nilikosa kazi mbili ambazo zilikuwa zinanisibiri Mimi. Ila kwa tabia ya upole nikashindwa kuzichukua zile kazi .
Watu kama Manara lazima wafanikiwe kwa level zao.
Matajiri wa vijijini, wilayani na mikoani wengi ni watu wenye tabia za ukali, utata na hawana aibu.
Maisha ni vita, ukiishi kama uko kwenye msiba hutoboi.
Mimi ni miongoni mwa watu wenye tabia za upole na aibu.
Upole na aibu havina faida yoyote kwenye maisha ya mtu.
Nilikosa kazi mbili ambazo zilikuwa zinanisibiri Mimi. Ila kwa tabia ya upole nikashindwa kuzichukua zile kazi .
Watu kama Manara lazima wafanikiwe kwa level zao.
Matajiri wa vijijini, wilayani na mikoani wengi ni watu wenye tabia za ukali, utata na hawana aibu.
Maisha ni vita, ukiishi kama uko kwenye msiba hutoboi.