Watu wakiruhusiwa kwenda mahakamani,ina maana hawa viongozi waliochaguliwa,they will not hit the ground running

Watu wakiruhusiwa kwenda mahakamani,ina maana hawa viongozi waliochaguliwa,they will not hit the ground running

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Hit the ground running ni msamiati wa kijeshi ambao watu wengine imeonekana kwamba wameshindwa kuelewa maana yake.

Ina maana mwanajeshi anaposhuka na parachuti,anapokaribia ardhini,upepo utakuwa unavuma,kwa hiyo akigusa ardhi hatakiwi kusimama,anatakiwa kufika tu chini na kuanza kukimbia.

Kwa hiyo hit the ground running maana yake kuanza kazi bila kuchelewa.

Sasa hapa kuna Uchaguzi ambao inaelekea unaweza kuleta kesi nyingi, hili ni jambo ambalo litakwamisha maendeleo,na viongozi wa Serikali za Mitaa watashindwa kufanya kazi.

Kwa sababu matatizo yaliyotokea katika Uchaguzi huu yalikuwa ni endogenic. Kwa hiyo sijui kwa nini mtu yeyote alalamike. Endogenic,maana yake,yale matatizo yapo katika mfumo wa uongozi. Matatizo hayo hayayoko nje, yanatoka ndani ya system.34.818 Aufrufe · 13.330 Reaktionen | Wimbo huu uliimbwa mwaka 2005 na mchungaji Abiud Misholi, sasa kwanini umekuwa maarufu muda huu😂😂 | Mambo Mambo
 
Mahakama gani hizo? Hizi hizi zinazoendeshwa kwa vimemo vya Samia??
 
Naona tatizo moja hapa,tatizo moja tu.
Kwa sababu haya Museveni naona amekuwa uneasy kuhusu Besigye kwenda nchi ya nje ku discuss mambo na watu. Hujui anaongea nini,hujui anaongea na nani,kwa hiyo haya mambo yanahatarisja usalama wa nchi.
Tumeona Tundu Lissu safari zake, always anakwenda huko anaigombanisha Serikali ya Tanzania na Wazungu.
Kwa hiyo yapo matatizo ya security ndio inavyokuwa watu wanapolalamoka kwamba wameonewa katika Uchaguzi,wanajikuta kwamba wanaongea peke yao.
Umeona jinsi Mdude alivyokamatwa na Mbowe na Sugu wakaachwa.
Hata Polisi wanaona uvivu kubishana na mtu ambaye Balozi wa Marekani anamwita my friend.
 
Back
Top Bottom