Watu walidhani leo Chadema wataongelea kupanda kwa gharama za Maisha !?

Watu walidhani leo Chadema wataongelea kupanda kwa gharama za Maisha !?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.
 
Watu wanamsikilizaga Mbowe ndo mtoaji wa dira ya Taifa

..kwenye msafara wa mamba kenge wapo.

..mbowe atatoa dira na muelekeo wa maridhiano.

..Lissu atashupalia katiba mpya na tume huru.

..Heche atazungumzia rasilimali za nchi yetu.


..Msigwa atajikita kwenye hali ngumu ya uchumi.

..Pambalu atazungumzia masuala ya vijana, ukosefu wa ajira na mitaji.
 
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.
Sema mim na siyo watu.., maana unawasemea wengine
 
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.


Kama unajua mambo ya kidunia utagundua mfumuko wa bei ni tatizo la Dunia nzima kwa sasa hivyo hakuna nchi pekee itaweza kutatua tatizo hili kwasababu Dunia inategemeana
 
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.
🤣🤣🤣kila mtu apambane na hali yake.
 
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.
Huwa mna kurupuka sana. Kwani hukumsikia Sugu akiongelea gharama za vyakula na diesel petroli?? Kama huna hoja sio lazima kuandika
 
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.
Wataongea kesho lakini watakuwa na sababu na alternative?
 
Ukitaka kujua JF ni pro CHADEMA, angalia walivyoruhusu threads nyingi zinazozungumzia kitu kilekile, mkutano wa CHADEMA mwanza!
 
Ukitaka kujua JF ni pro CHADEMA, angalia walivyoruhusu threads nyingi zinazozungumzia kitu kilekile, mkutano wa CHADEMA mwanza!
 
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.
Nyota wa mchezo leo kwa upande wa CCM alikuwa Mbowe, hataki katakata kusikia mtu anamsema vibaya mama Samia badala yake kaungana na akina Makamba, Samia nk. kumsema vibaya Hayati Magu
 
Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio?

Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote


Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza mkaandamana Kama mnaona Rahisi.

Mikutano ndio imeanza uwezi kuanza yote.mengine tunamaliza JF.
 
Back
Top Bottom