Watu walifanyaje kazi kabla ya mashine kuvumbuliwa?

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
Ilikuwa mwaka 1915 wakati wafanyikazi wa misitu walikata miti mikubwa kama hii.

Iliwachukua mwaka mmoja kuuweka mti kama huu ardhini.

Najiuliza ilichukua muda gani mti huu kuota na kuwa mkubwa hivyo🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…