flyn rider
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 456
- 78
nilichogundua applicant waliofanya mitihani zamani eg 2002,2004,2006,2003 bodi imewanyima mikopo maana kila anaetoa namba yake hapa inaonyesha amekosa,..poleni mungu atafungua milango mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilichogundua applicant waliofanya mitihani zamani eg 2002,2004,2006,2003 bodi imewanyima mikopo maana kila anaetoa namba yake hapa inaonyesha amekosa,..poleni mungu atafungua milango mengine
sidhani kama upo sahihi,kwani nina jamaa zangu walimaliza 2004 wamepata na pia kuna waliomaliza 2008 wamekosa not secured,so hiyo dhana yako mhh hebu endelea na utafiti,
ila mi naona j3 tuibuke bodi tukajue zaidi mbivu na mbichi.
nilichogundua applicant waliofanya mitihani zamani eg 2002,2004,2006,2003 bodi imewanyima mikopo maana kila anaetoa namba yake hapa inaonyesha amekosa,..poleni mungu atafungua milango mengine
Daaah sasa sijui sisi wa mikoa ya mbali itakuaje!,nimeshakata tamaa
Daaah sasa sijui sisi wa mikoa ya mbali itakuaje!,nimeshakata tamaa
may be,ila nimeona wengi wamegaragazwa,bodi si mchezo,na hio jumatatu mwamba tujipange maana najua wameshajipanga na wao wanajua watatiliwa timu
Usijali tunakuwakilisha cha msingi hapa ndipo utakapo kuwa updated
Mi pia niliona waliotoka diploma wengi wametoswa ila sio wote coz nimeona wengine wamepata,ila kuna mtu kasema wanaweza toa tena ila sio habar za uhakika,
may be,ila nimeona wengi wamegaragazwa,bodi si mchezo,na hio jumatatu mwamba tujipange maana najua wameshajipanga na wao wanajua watatiliwa timu
Watakuwa wamekosa tu kwa sababu nyingine si kwa vile wamefanya mitihani miaka mingi. Nafikiri bodi wanafuata vigezo walivyojiwekea. Mimi wa equivalent nimebamba 3.8m pamoja na kuwa sec. nilimaliza 90's. Sasa iwe hao wa 2004?
Nyie ndo mnaowabania vijana wasipate mkopo,ee si una mshahara lakini...ovyoo
may be,ila nimeona wengi wamegaragazwa,bodi si mchezo,na hio jumatatu mwamba tujipange maana najua wameshajipanga na wao wanajua watatiliwa timu
may be,ila nimeona wengi wamegaragazwa,bodi si mchezo,na hio jumatatu mwamba tujipange maana najua wameshajipanga na wao wanajua watatiliwa timu