Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Ndiyo hao hao wakisikia, mama tutamchukulia fomu kwa lazima aongoze awamu ya tatu, watadai demokrasia.
Sijui kwanini chawa wa chadema wanayoyadai kwa ccm na serikali yake hawayataki yatumike kwa chama.
huwa wanahoji kwanini chawa wa ccm husifia kila kitu cha serikali na chama hata kama cha kijinga. Lakini sasa wanapinga kwanini tundu lissu anapingana na mambo ya ajabu yanayoendelea kwenye chama kwamba kwa kufanya hivyo ametumwa, anatumika, hafai, mbowe aliokoa maisha yake n.k.
Magufuli alikuwa Rais wa nchi, Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA.
Nchi ni ya watu wote, wenye vyama na wasio na vyama, wenye dini, wasio na dini wapagani n.k
CHADEMA ni ya wanachadema
Rafiki yako TL lazima akuibue Taikon wa Fasihi umeanza kumpambania tangu 2020 mpaka sasa
Naludia tena chama ni Mali ya umma ndo maana wanaokipigia kura chama kwenye uchaguzi wowote ni wananchi wote wewe utakuwa unachanganya kati ya kikundi Cha kufa na kuzikana na chama Cha siasa Kwa maana kwenye kikundi Cha kufa na kuzikana mnazikana wanakikundi tu
Hata yanga ikicheza mechi inaangaliwa na watu wote ikiwemo wa Simba, Azam, Tabora n.k ila Yanga ni ya wanayanga.
Kama unafikiri CHADEMA ni mali ya umma nenda wewe mwanaCCM kapige kura za kumchagua mwenyekiti wa CHADEMA.
TaikonMpo salama!
Watu wenye ndimi mbili. Watu wenye mawe mawili ya kupimia ni watu Hatari Sana popote walipo. Ni watu wanafiki na muda wowote wanaweza kukuuza.
Alipokuwepo Magufuli, Chawa wake walitoa maoni Yao kuwa Magufuli aongezewe Muda, Magufuli atawale milele, na kama Magufuli angekataa wapo walioapa wangemshikia kiboko kumlazimisha aendelee kutawala. Yalikuwa ni maoni Yao.
Sisi wengine maoni yetu tulikataa tukasema Hapana. Miaka yake ikiisha inatosha. Wengine tukasema Katiba hairuhusu lakini Katiba ni kitabu tuu tunaweza kukibadilisha sehemu ndogo (Constitution amendment) ili kuweka kipengele cha kuongeza Muda.
Haya walewale ambao waliwaka, walimkalia kooni JPM ambaye yeye mwenyewe hata hakuwahi kusema ataongeza Miaka zaidi ya yeye kutamka hataongeza Miaka. Leo hii kile walichokuwa hawakitaki kwa JPM wanakifanya kwenye chama Chao.
Mbowe hata angekuwa kiongozi mzuri kama Malaika, kumuongezea Miaka mingine juu ya ishirini sio Sawa.
Alafu Mbowe angetakiwa aonyeshe uzuri wake katika kuandaa viongozi wengine wazuri zaidi yake wa kumrithi.
Siongei kumtetea Lisu awe kiongozi nope! Anaweza kugombea mtu mwingine Nje ya Lisu na akawa kiongozi wa CHADEMA hii itaonyesha kuwa CHADEMA inaakiba ya kutosha ya viongozi.
Kama kuna watu wanaona Mbowe aendelee Basi wasishangae wale wanaoona CCM iendelee.
Wanasema Mbowe kaitoa CHADEMA Mbali.
Watu wanasema CCM imeitoa nchi Mbali.
Uongozi mzuri ni pamoja na kuweza kuachia nafasi wengine waongoze.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mbona Tanzania kila mwaka inachukua pesa za walipa kodi wa Marekani na Ulaya lakini bado inakataa ushoga??
Taikon
Honhera uzi una elimu kubwa huu
Labda tufahamu vizuri kwanza SACCOS ni nini na huwa inafanya nini?Kwa hiyo madai yanayosema CHADEMA ni Saccos ya Mbowe yapo sahihi?
Inachukua misaada na mikopo.Inachukua mkopo sio bure?
Kitu ambacho nina uhakika nacho hadi hivi sasa ni kwamba Mbowe hatagombeaMpo salama!
Watu wenye ndimi mbili. Watu wenye mawe mawili ya kupimia ni watu Hatari Sana popote walipo. Ni watu wanafiki na muda wowote wanaweza kukuuza.
Alipokuwepo Magufuli, Chawa wake walitoa maoni Yao kuwa Magufuli aongezewe Muda, Magufuli atawale milele, na kama Magufuli angekataa wapo walioapa wangemshikia kiboko kumlazimisha aendelee kutawala. Yalikuwa ni maoni Yao.
Sisi wengine maoni yetu tulikataa tukasema Hapana. Miaka yake ikiisha inatosha. Wengine tukasema Katiba hairuhusu lakini Katiba ni kitabu tuu tunaweza kukibadilisha sehemu ndogo (Constitution amendment) ili kuweka kipengele cha kuongeza Muda.
Haya walewale ambao waliwaka, walimkalia kooni JPM ambaye yeye mwenyewe hata hakuwahi kusema ataongeza Miaka zaidi ya yeye kutamka hataongeza Miaka. Leo hii kile walichokuwa hawakitaki kwa JPM wanakifanya kwenye chama Chao.
Mbowe hata angekuwa kiongozi mzuri kama Malaika, kumuongezea Miaka mingine juu ya ishirini sio Sawa.
Alafu Mbowe angetakiwa aonyeshe uzuri wake katika kuandaa viongozi wengine wazuri zaidi yake wa kumrithi.
Siongei kumtetea Lisu awe kiongozi nope! Anaweza kugombea mtu mwingine Nje ya Lisu na akawa kiongozi wa CHADEMA hii itaonyesha kuwa CHADEMA inaakiba ya kutosha ya viongozi.
Kama kuna watu wanaona Mbowe aendelee Basi wasishangae wale wanaoona CCM iendelee.
Wanasema Mbowe kaitoa CHADEMA Mbali.
Watu wanasema CCM imeitoa nchi Mbali.
Uongozi mzuri ni pamoja na kuweza kuachia nafasi wengine waongoze.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Inachukua misaada na mikopo.
Kitu ambacho nina uhakika nacho hadi hivi sasa ni kwamba Mbowe hatagombea
Muulize babu yako kama hajawahi kulishwa mahindi ya njano ya Wamarekani ya msaada asife njaa.Tanzania haijawahi kupewa msaada zaidi ya mikopo.
Labda tufahamu vizuri kwanza SACCOS ni nini na huwa inafanya nini?
Pia kama kuna SACCOS ya mtu?
Tofauti na Mbowe watu gani wengine wanamiliki SACCOS binafsi?
Kweli Mbowe amefanya kazi kubwa hadi hapa tulipo. Lakini jinsi ccm wanavyopora uchaguzi na aina ya siasa za leo, aiseee! Mbowe na siasa zake za mabembelezano miaka 20 inatosha. Abaki kama mshauri...Waporaji wa uchaguzi serikali za mitaa wanapotamani Mbowe amwachie Lissu kijiti - kaa chini tafakari kwa kina.
CCM na CHADEMA ni pipa na mfuniko. Tena bora ccm wanabadili m/kiti kila baada ya miaka 5/10. CHADEMA m/kiti wa milele. Na anayejaribu.....Kwa hiyo madai yanayosema CHADEMA ni Saccos ya Mbowe yapo sahihi?
Muulize babu yako kama hajawahi kulishwa mahindi ya njano ya Wamarekani ya msaada asife njaa.
Kweli Mbowe amefanya kazi kubwa hadi hapa tulipo. Lakini jinsi ccm wanavyopora uchaguzi na aina ya siasa za leo, aiseee! Mbowe na siasa zake za mabembelezano miaka 20 inatosha. Abaki kama mshauri...
Pi
CCM na CHADEMA ni pipa na mfuniko. Tena bora ccm wanabadili m/kiti kila baada ya miaka 5/10. CHADEMA m/kiti wa milele. Na anayejaribu.....