Watu waliokataa Magufuli asiongezewe Miaka ndio haohao wanashadadia Mbowe aendelee kuongoza. Ndio haohao wanakapinga CCM isiendelee! Unafiki mtupu!


Kwa kweli Watanzania sio wajinga. Waache waendelee kushabikia Simba na Yanga kuliko huu upuuzi
 
Magufuli alikuwa Rais wa nchi, Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA.
Nchi ni ya watu wote, wenye vyama na wasio na vyama, wenye dini, wasio na dini wapagani n.k
CHADEMA ni ya wanachadema

Kwenye suala la uongozi kwenye hii nchi yetu. Lazima uelewe CCM ndio wenye nchi.
Nchi sio ya wote. Nchi ni yaccm.
Huo ndio mtazamo wa Watawala.

Kwa hiyo unaposema CHADEMA ni yawanachadema lazima uelewe pia nchi hii ni yawanaccm ambapo ndani yake kuna wanachadema
 
Rafiki yako TL lazima akuibue Taikon wa Fasihi umeanza kumpambania tangu 2020 mpaka sasa
 

Mwambie kila mwezi wanachukua kodi za Watanzania kama ruzuku.
Yoda anajizima Data
 
Hata yanga ikicheza mechi inaangaliwa na watu wote ikiwemo wa Simba, Azam, Tabora n.k ila Yanga ni ya wanayanga.
Kama unafikiri CHADEMA ni mali ya umma nenda wewe mwanaCCM kapige kura za kumchagua mwenyekiti wa CHADEMA.

Kwa hiyo madai yanayosema CHADEMA ni Saccos ya Mbowe yapo sahihi?
 
Taikon
Honhera uzi una elimu kubwa huu
 
Kwa hiyo madai yanayosema CHADEMA ni Saccos ya Mbowe yapo sahihi?
Labda tufahamu vizuri kwanza SACCOS ni nini na huwa inafanya nini?
Pia kama kuna SACCOS ya mtu?
Tofauti na Mbowe watu gani wengine wanamiliki SACCOS binafsi?
 
Kitu ambacho nina uhakika nacho hadi hivi sasa ni kwamba Mbowe hatagombea
 
Labda tufahamu vizuri kwanza SACCOS ni nini na huwa inafanya nini?
Pia kama kuna SACCOS ya mtu?
Tofauti na Mbowe watu gani wengine wanamiliki SACCOS binafsi?

Si umesema CHADEMA ni yawanachadema?
Na sio chama cha Watanzania.

Ndio nikakuambia kuwa madai ya wanaosema CHADEMA ni Saccos kumbe ni sahihi?

Unafikiri ni Kwa nini vyama vya upinzani vinapewa ruzuku?
 
Waporaji wa uchaguzi serikali za mitaa wanapotamani Mbowe amwachie Lissu kijiti - kaa chini tafakari kwa kina.
Kweli Mbowe amefanya kazi kubwa hadi hapa tulipo. Lakini jinsi ccm wanavyopora uchaguzi na aina ya siasa za leo, aiseee! Mbowe na siasa zake za mabembelezano miaka 20 inatosha. Abaki kama mshauri...

Pi
Kwa hiyo madai yanayosema CHADEMA ni Saccos ya Mbowe yapo sahihi?
CCM na CHADEMA ni pipa na mfuniko. Tena bora ccm wanabadili m/kiti kila baada ya miaka 5/10. CHADEMA m/kiti wa milele. Na anayejaribu.....
 
Muulize babu yako kama hajawahi kulishwa mahindi ya njano ya Wamarekani ya msaada asife njaa.

Tanzania haijawahi kupewa msaada wowote na mabeberu.

Labda hujui maana ya capitalism. Ukijua maana yake na hizo nchi zinazotoa msaada hutoweza kusema Tanzania iliwahipewa msaada.
 

Kwa kinachotaka kutokea ni mara Mia CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…