Watu waliokulia mazingira magumu wana uwezo mkubwa kwenye masomo ya sayansi kuanzia digrii ya pili

Watu waliokulia mazingira magumu wana uwezo mkubwa kwenye masomo ya sayansi kuanzia digrii ya pili

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kuna uhusiano mkubwa kati ya uwezo wa kimasomo ya sayansi na maisha magumu aliyokulia mtu.

Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua wengi ambao huwa na stamina na uwezo wa kusoma digrii ya pili na ya tatu ya masomo ya sayansi hapa nazungumzia "pure science" sio digrii za sayansi za arts kama Political Science, Finance au Economics n.k, naongelea "pure science" Kama Udaktari, Engineering, Hisabati n.k

Wanaotoka familia duni na zenye maisha magumu ndio wengi wao huwa na stamina na uwezo mkubwa wa kuzisoma. Na ndio wengi walimu wa hayo masomo vyuo vikuu na madaktari, mainjinia bingwa n.k
 
Kwa hilo nakubaliana na Wewe
Ni kweli watu wengi ni wa vijijini huko mikoani

Sisi wa dar kidato cha tatu tunachagua zetu Arts tukijitahidi Sana tunachukua mchepuo wa biashara
 
Wanajua thamani ya elimu na wanafahamu ni jinsi gani wakifanya hivyo wata fanikiwa kimaisha katika elimu

Ndio maana husoma sana na baadae kufanikiwa zaidi ni wachache sana wenye degree mbili wakiwa mitaani

Ina maanisha wengi wao huajiriliwa au hujiajiri lakini all in all wanatafuta maisha kwa uchungu
 
Wanajua thamani ya elimu na wanafahamu ni jinsi wakifanya hivyo wata fanikiwa kimaisha katika elimu

Ndio maana husoma sana na baadae kufanikiwa zaidi ni wachache sana wenye degree mbili wakiwa mitaani

Ina maanisha wengi wao huajiriliwa au hujiajiri lakini all in all wanatafuta maisha kwa uchungu
Ndugu umeongea mawazo yangu kabisa.
Nacho amini ni kuwa vitu vingi watu huviweza ila mtu anajikita zaidi katika kipi anaona kitamtoa kimaisha. Walokulia maisha magumu lazima akazane kusoma akiamini ndo mafanikio yake wakati wenye hela au mazingira mazuri akitafuta elimu ya kumsaidia kuendesha mambo yake tuu.
 
Ndugu umeongea mawazo yangu kabisa.
Nacho amini ni kuwa vitu vingi watu huviweza ila mtu anajikita zaidi katika kipi anaona kitamtoa kimaisha. Walokulia maisha magumu lazima akazane kusoma akiamini ndo mafanikio yake wakati wenye hela au mazingira mazuri akitafuta elimu ya kumsaidia kuendesha mambo yake tuu.
Ni kweli kabisa....
 
s
Kuna uhusiano mkubwa kati ya uwezo wa kimasomo ya sayansi na maisha magumu aliyokulia mtu.

Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua wengi ambao huwa na stamina na uwezo wa kusoma digrii ya pili na ya tatu ya masomo ya sayansi hapa nazungumzia "pure science" sio digrii za sayansi za arts kama Political Science, Finance au Economics n.k, naongelea "pure science" Kama Udaktari, Engineering, Hisabati n.k

Wanaotoka familia duni na zenye maisha magumu ndio wengi wao huwa na stamina na uwezo mkubwa wa kuzisoma. Na ndio wengi walimu wa hayo masomo vyuo vikuu na madaktari, mainjinia bingwa n.k
sample size yako ni mtu mmoja, Jiwe, rubbish!
 
Kuna uhusiano mkubwa kati ya uwezo wa kimasomo ya sayansi na maisha magumu aliyokulia mtu.

Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua wengi ambao huwa na stamina na uwezo wa kusoma digrii ya pili na ya tatu ya masomo ya sayansi hapa nazungumzia "pure science" sio digrii za sayansi za arts kama Political Science, Finance au Economics n.k, naongelea "pure science" Kama Udaktari, Engineering, Hisabati n.k

Wanaotoka familia duni na zenye maisha magumu ndio wengi wao huwa na stamina na uwezo mkubwa wa kuzisoma. Na ndio wengi walimu wa hayo masomo vyuo vikuu na madaktari, mainjinia bingwa n.k
Mfano......
 
Back
Top Bottom