Usiogope ni uzushi tu.. hakuna aliewai kufa kwa sababu ya kuhoji mambo haya ya kufikirika..na kudanganya watu..
Na hao miungu bandia waliwezaje kuhudhuru mkutano na huyo mungu kwa mjibu wa zaburi 82,kama kweli walikua bandia?
Ushahidi ulioubeba mgongoni mwako ni huu,unaposema nilizaliwa mwaka 19...,chanzo cha huko kuhesabu ni kuzaliwa kwa masihi wengine wanamuita mesaya na huyu alitumwa na Mungu. kizazi hiki hatuwezi epuka ua kukana uwepo wa Mungu maana hata tukikana nafsi zetu zinatusuta maana hata vyeti vyetu vya shule,kuzaliwa,passport na vingine vinavyotuhusu vinabeba ujumbe wa kuzaliwa kwa masihi.Usiogope ni uzushi tu.. hakuna aliewai kufa kwa sababu ya kuhoji mambo haya ya kufikirika..na kudanganya watu..
Suala sio kuhoji, kuna tofauti kati ya kuhoji na KUKUFURU. Jaribu kukufuru uone. Bahati mbaya hautaona kwasababu utakuwa umekufa.
Ushahidi ulioubeba mgongoni mwako ni huu,unaposema nilizaliwa mwaka 19...,chanzo cha huko kuhesabu ni kuzaliwa kwa masihi wengine wanamuita mesaya na huyu alitumwa na Mungu. kizazi hiki hatuwezi epuka ua kukana uwepo wa Mungu maana hata tukikana nafsi zetu zinatusuta maana hata vyeti vyetu vya shule,kuzaliwa,passport na vingine vinavyotuhusu vinabeba ujumbe wa kuzaliwa kwa masihi.
Kukufuru ni msamiati wa kuogopesha watu wasihoji tu.. yaani dini zina mbinu mbalimbali kuanzisha dogma watu wasihoji
Nimeshasema, fanya kufuru, tutashuhudia. bahati mbaya wewe hautaelewa kwani utakuwa Marehemu. Kama nilivyosema kuna tofauti kati ya kufuru na kuhoji.
Mfano kuna mabinti watatu USA walikuwa wamelewa, wakaenda kwa mama ya mmoja wao kumsalimia. Walikuwa na gari. Wakiwa njiani kwenda kwa mama ya rafiki walipita Supermarket wakanunua mayai.
Wakati wa kuondoka, mama aliwaambia "Mungu awatangulie". Mmoja akajibu na wenzake wakamsapoti kwa kiherehere cha pombe. Hawezi kututangulia sisi labda akakae nyuma kwenye buti la gari. Basi wakaondoka, si muda mrefu taarifa zikaja, wamepata ajali na kufariki hapo hapo. Ajabu hakuna hata yai moja lilivunjika.
Hiyo ndio kufuru tunayoongelea hapa. Ni tofauti kabisa na kuhoji. Kuhoji ni kitu kingine na kufuru na kitu kingine.
Fanya jaribio la kukufuru, tutakusikia.
Ni makubaliano yalifanywa ili kuanzisha mfumo wa kuesabu miaka/muda kuanzia kwa yesu..wengine wanatumia mfumo wa hijira wa kiislamu wa kuhesabu kuanzia 622 a.d. wala si mfumo wa mungu..
tena kuonesha mfumo una tatizo huyo yesu alizaliwa 4 b.c.e sio zero..
na kuanzishwa kwa mfumo huu haukutumia miujiza ya yesu bali makubaliano tu..
mungu wa yakobo na isaka is a fool and a murderous crazy pagan god.
Sorry bro! je hata wewe ukifa itakuwa ni kwa sababu ya kukufuru? kama sivyo je kutkuwa na tofauti gani kti yako na hao uliowataja hapo juu1. Mtengenazaji meli ya titanic. Baada ya kutengeneza meli ya TITANIC, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " Ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha". Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu TITANIC 2.AZUZA (mwanamuziki brazil) Alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la Rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " Mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote. 3.Christina hewt (mwandishi) Huyu alikaririwa akisema " Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi Leo umesababishwa na nini. 4. John Lennon (muimbaji) Wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa Nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake 5. Tancredo neves (rais wa brazil) Alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu Brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.
Hapo penye red,hiyo A.D inawakilisha neno ano domino ikiwa na maana ya baada ya kristo kiswahili wanatumia B.K baada ya kristo.Na hata walioishi kabla ya kristo linatumika neno la kiingereza B.C before christ.Yote katika yote hakuna njia rahisi ya kukwepa ukweli huu,uwe na dini usiwe na dini.
Binamu Evelyn Salt pitia na huku leo
Samahani, ngoja niwahi nyama yangu ya kiti moto inapoa.Hutulazimiki kutumia B.C wala A.D tunaweza kutumia B.C.E before common era au B.P before present.. kwahiyo mambo ya yesu si muhimu kabisa hapo
Zaburi 82:1-2.
MUNGU akasimama katika kusanyiko la Mungu.
KATIKATI YA MIUNGU ANAHUKUMU.
Hata lini mtahukumu kwa dhuluma.
6-mimi nimesema,NDINYI MIUNGU ,na wana wa aliye juu,mtakufa kama wanadamu.
Ndo kusema katika biblia walikuwepo miungu kibao akiwemo wa isaka,yakobo,eliya,daudi etc.
Mp.umb.avu husema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mkuu mleta mada hizi habari ulizoleta ni za uongo at best na unproven kwa kuanzia huyo Azuza alikufa kwa Ukimwi na sio cancer ili kupanda na upande wa pili wa habari taomba uweke hii link Untimely Deaths of Famous People Who Mocked God - Fiction! and Unproven! kwenye post yako ili usipotoshe UMMA. Kutangaza na kushare imani its all well and good ila kusambaza imani yako kwa njia ya uongo ni Utapeli na ulaghai..., (Ukizingatia Imani yako inakutuma kusema kweli daima)
Mkuu mleta mada hizi habari ulizoleta ni za uongo at best na unproven kwa kuanzia huyo Azuza alikufa kwa Ukimwi na sio cancer ili kupanda na upande wa pili wa habari taomba uweke hii link Untimely Deaths of Famous People Who Mocked God - Fiction! and Unproven! kwenye post yako ili usipotoshe UMMA. Kutangaza na kushare imani its all well and good ila kusambaza imani yako kwa njia ya uongo ni Utapeli na ulaghai..., (Ukizingatia Imani yako inakutuma kusema kweli daima)