Psalm 14:1 The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works, there is none that doeth good.(KJV}
I'm chilling in the shade like a Caesar, listening to Sade munching pizza
Planning on vacating, Ibiza, Haagen-Dazs in the freezer
While these geezers, are chained with gospels full of Jesus
Politrickin, cheap, Tambwe Hizza, flow dry like Sinza
I'm Solid as a rock like Sizzla, professorial pipe, no rizzla
This's just a teaser, to touch the full saga you need a viza
Godless Kiranga Grand Vizier, getting busier and busier
Wisdom from the pyramids of Gizzah, take off the fake fezzier
Du!, watu wanashuka na mistari yenye vina!, hiki ni kipaji!,I'm chilling in the shade like a Caesar, listening to Sade munching pizza
Planning on vacating, Ibiza, Haagen-Dazs in the freezer
While these geezers, are chained with gospels full of Jesus
Politrickin, cheap, Tambwe Hizza, flow dry like Sinza
I'm Solid as a rock like Sizzla, professorial pipe, no rizzla
This's just a teaser, to touch the full saga you need a viza
Godless Kiranga Grand Vizier, getting busier and busier
Wisdom from the pyramids of Gizzah, take off the fake fezzier
Sio uheshimu hata uchafu................inabidi umfundishe njia ya kweli naye aijue kweli
Nilimwamini Yesu kama mwokozi wa maisha yangu 1982!
Na hapo ndio wengi tunachanganya, mambo ya imani/wokovu ni individual na personal. Ndio maana Thomaso alitaka athibitishe kwa kumshika Yesu aone kama ni kweli licha ya wanafunzi wengine kuwa tayari walikwisha amini kwamba yule waliekua wanamuona ni Yesu.
Na kila siku nasema kufahamu imani yako inasimamia nini ni jambo la muhimu sana, mambo ya mkumbo yanatuponza.
Kwangu nikipata changamoto za watu wasioamini uwepo wa Mungu nafurahia kwa sababu sio kazi yangu kumtetea, ajiteteee mwenyewe. Ila inanifanya nifuatilie vizuri kuona kama imani yangu misingi yake ni imara kiasi gani.
Sioni haja ya kumchukia, kumtukana, kumgombeza yeyote asiyeamini uwepo wa Mungu, kwa sababu hata hiyo nayo ni imani kama nnavyoamini mimi.
Unanikumbusha Oliver Cromwell alivyosema kwamba wasioamini kuwepo kwa mungu na kubisha kwa pointi zao wanawasaidia waumini wa kweli kuimarisha imani zao.
Maana yake, kama mtu unaamini mungu halafu unapita kwenye tanuru la maswali ya Kiranga, na kuona kabisa kwamba logically speaking, god (at least in the Judeo-Christian cosmogony) is a bunch of malarkey, inconsistent malarkey at that, halafu ukaendelea kumuamini mungu tu, utakuwa umeimarisha imani yako.
Oliver Cromwell alikua wa aina yake, ila kwa upande wangu nilichokua namaanisha ni kwamba, kama mtu anahoji au kuuliza kuhusu imani ya uwepo wa Mungu, sioni tatizo kati yangu na huyo mtu.Chamsingi ni mimi kuiangalia imani yangu na kuipima kwa mapana zaidi kujua je ni bunch of malarkey? Baada ya hapo unafanya maamuzi yanayoeleweka.
Hii inamaanisha kwamba, kama utagundua kwamba habari za Mungu ni bunch of malarkey unaachana nazo na kufuata utaratibu mwingine. Na kama sio, imani itaimarika kwa sababu ni lazima kwanza uwe na imani na kitu unachokiamini.
Kwa sasa ni mapema sana kuja na hitimisho la "bunch of malarkey". Vile vile bunch of malarkey ina maana tofauti kwa watu tofauti. Ila naomba niseme wazi huwa najifunza vitu vingi kupitia hoja zako na michango yako.
Na hapo ndio wengi tunachanganya, mambo ya imani/wokovu ni individual na personal. Ndio maana Thomaso alitaka athibitishe kwa kumshika Yesu aone kama ni kweli licha ya wanafunzi wengine kuwa tayari walikwisha amini kwamba yule waliekua wanamuona ni Yesu.
Na kila siku nasema kufahamu imani yako inasimamia nini ni jambo la muhimu sana, mambo ya mkumbo yanatuponza.
Kwangu nikipata changamoto za watu wasioamini uwepo wa Mungu nafurahia kwa sababu sio kazi yangu kumtetea, ajiteteee mwenyewe. Ila inanifanya nifuatilie vizuri kuona kama imani yangu misingi yake ni imara kiasi gani.
Sioni haja ya kumchukia, kumtukana, kumgombeza yeyote asiyeamini uwepo wa Mungu, kwa sababu hata hiyo nayo ni imani kama nnavyoamini mimi.
Ndugu yako msimamo umesimama kama wako, hii imesababisha mpaka wapuuzi kunivunjia heshima eti mimi Kiranga ni bwana wangu, makubwa haya lakini hao hao utawakuta wanashindwa challenge wanapoambiwa Mungu na Allah ni vitu viwili tofauti na Yesu siyo Issa.
Nitaendelea kuzipenda changamoto za Kiranga huku nikibaki kuamini kile ninachoamini kama mapokeo tu.
Watu mpaka leo wanashindwa kujibu hoja za Kiranga wanabaki kupayuka tu hawana tofauti na waliotuaminisha mlima Kilimanjaro ulikugunduliwa na mzungu that's means wachaga hawakuwepo au wote walikuwa vipofu.
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
Kila siku nawapa maswali, sipati majibu.
Jana nimewauliza, kwa waliosoma biblia, wanajua habari ya Yesu kuulani mti wa tini ambao ulikuwa haujazaa matunda.
Kwamba haufai, kwa sababu hauna mazao.
Nikawauliza, kama uwezo wa kuzaa unatolewa kwa rehema za mungu, na mungu hajaupa huu mti rehema zake.uzae matunda, kuulaumu huu mti kwa vile mungu hajaona sawa kuupa rehema ya kuzaa ni haki?
Isn't this what the English call "blaming the victim"?
Sijapewa jibu mpaka sasa.
Muafrika akiwa na utamaduni wa kumnyanyasa mke kwa sababu mke hajapata mtoto katika ndoa anaitwa mshenzi.
Yesu akiulaani mti wa tini kwa sababu haujazaa matunda anaonekana mwanafalsafa wa juu sana na mwokozi wa wanadamu.
What's the difference?