Watu waliozidi uongo humu JF

Driz memes

Member
Joined
Apr 4, 2022
Posts
11
Reaction score
20
wakuuuu habarini sana....

Lengo la uzi huu ni kuwataja watu waliozidi kwa chai humu. kama tujuavyo mitandaoni ni sehemu ambayo watu mbalimbali hukutana kutoka sehem tofauti tofauti na kati ya watu hao kila mmoja ana hulka yake binafsi kama uongo, ujinga, usiriaz, uchekeshaji n.k...................!!!

Binafsi kwa mimi humu jf nimepitia baadhi ya nyuzi humu za waandishi mbalimbali nikagundua kua watu ni waongo kama mpwayungu village jamaa amezidi uongo, nyuzi zake zote ni uongo mtupu

Pia kuna ule wa kula kimasihara, mule watu ni waongo sana, kama ni kwel wanayoyaandika basi mbinguni hawatoenda,

Kama unamjua yoyote aliezid uongo humu embu mshushe hapo chini tumjue

Wasalaaam wapendwa..................!!!!!!
 
Driz memes
 
mpwayungu village, vinginevyo amalizie safari ya lindi.
 
Wewe mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…