Watu wameanza kuhama nchi mapema kabisa

Kuna watu imesemekana walikuwa wanapanda ndege kwenda juchukua mzigo alafu wanarudi Dar au Dom
 
labda kama hana connection, AM na Ka🐈 wako pale wanatamba tu, serikali yao. yule mwamba wa Midrand naye anaingia nakutoka daily.. tena AM na uraia wamempa, kwa kaburu hakuna serikali pale labda kama huna address.
AM anatunzwa na watu walioko huku ndio waliona akikamatwa mambo mengi yataibuka na walitunga story kuwa amekimbilia Dubai wale jamaa wakisikia amekimbilia kwao wanaanza kumtingisha ili alipe maana pana watu ndio wanasanua hilo deal kwa Wazee ila kama anahitajika na Nchi anaokotwa tuu hakuna wa kuzuia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…