Watu wameanza kuhama nchi mapema kabisa

Watu wameanza kuhama nchi mapema kabisa

Kwa kifupi ni kwamba afisa huyo inaonekana hizo pesa tajwa yeye ni moja kati ya maaskari wa polisi wanaoshukiwa kuziiba. Pesa hizo zilitokana na michango waliyokuwa wakichangishwa askari poli kiasi cha shilingi 5,000/=kwa kila polisi kila mwezi (hakuna maelezo ya ni kwanini walikuwa wanachangishwa pesa hizo kwenye gazeti hilo)

Maelezo mengine ni kwamba polisi huyo inaaminika amekimbilia SA baada ya kusikia ripoti ya kichele kuhusu upotevu wa pesa hizo wakati akitoa taarifa kama mkaguzi mkuu wa serikali siku ya jumatano.

Gazeti pia limeandika jamaa alipata taarifa hizo wakati akiwa chuo cha polisi moshi akisomea au akichukua mafunzo ya polisi kwa cheo cha ASP ambapo huchukua miezi sita. Mpaka hapo nadhaninkidogo nmeeleweka mkuu!!! Japo gazeti lenyewe ni kingereza
Kuna watu imesemekana walikuwa wanapanda ndege kwenda juchukua mzigo alafu wanarudi Dar au Dom
 
labda kama hana connection, AM na Ka🐈 wako pale wanatamba tu, serikali yao. yule mwamba wa Midrand naye anaingia nakutoka daily.. tena AM na uraia wamempa, kwa kaburu hakuna serikali pale labda kama huna address.
AM anatunzwa na watu walioko huku ndio waliona akikamatwa mambo mengi yataibuka na walitunga story kuwa amekimbilia Dubai wale jamaa wakisikia amekimbilia kwao wanaanza kumtingisha ili alipe maana pana watu ndio wanasanua hilo deal kwa Wazee ila kama anahitajika na Nchi anaokotwa tuu hakuna wa kuzuia...
 
Back
Top Bottom