SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu, huyo binti pengine yuko desperate.

Huyo baba yeye yuko desperate na nini? Na ye anatafuta kazi? Umetumwa kusimamia watu unaishia kuwapiga, hamna security wa kumtoa huyo binti ikiwa amemisbehave?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…