SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
Source #2
View Source #2
Watu wanachapana mikono huko, yaani ni noma sana.

Screenshot_20240909-085354_1.jpg



 
Tunachokijua
Usaili wa kuandika katika kada ya afya umefanyika Septemba 3, 2024 nchi nzima ili kuwapta wataalam wa afya watakaojaza nafasi 9, 483 za ajira.

Wakati usaili huu ukiwa unaendelea ilisambaa video mtandaoni ikionesha binti akiwa anasukumwa na Mwanaume akiwa ameshika karatasi kati ya watu wengine walioshika karatasi ndani ya chumba, huku Watu wanaosambaza video hiyo wakidai ni tukio lililotukia kwenye moja ya vituo vya usaili, Tazama( hapa na hapa)

screenshot-2024-09-03-at-23-08-32-devotatweve-on-x-inadaiwa-kafanyiwa-hivi-wakati-wa-usahili-m-png.3086321
Ukweli ni Upi?
JamiiCheck imefuatilia video hiyo kupitia utafutaji wa kimtandao kwa kutumia Google Reverse Image ili kufahamu uhalisia wa video hiyo inayodaiwa kuwa ni ya tukio lililotokea kwenye moja ya maeneo yaliyofanyika usaili katika kada ya afya nchini.

Tumebaini kuwa video hiyo si ya Tanzania na haihusiani na usaili katika kada ya afya, video hiyo ni ya Congo na iliwekwa mtandaoni tarehe Agosti 26, 2024 (Tazama hapa) na kuendelea kusambaa, (tazama hapa) ikionesha tukio lililotokea Congo DRC.

Ufuatiliaji wa kimtandao unaonesha tukio hili lilimuhusisha binti wa chuo cha ISTA Kolwezi lundi (l’Institut Supérieur des Techniques Appliquées (ISTA)) ambaye alishambuliwa na mwalimu akiwa kwenye mtihani Mwalimu anafahamika kwa jina la Tshipamba Kabwe.

1725399147413-jpeg.3086332

Barua ikionesha kusimamishwa kazi kwa mwalimu aliyemshambulia mwanafunzi huyo​
Watu wanachapana mikono huko, yaani ni noma sana.

View attachment 3085851
Ukitazama kwa umakini huyo binti kamtukana huyo jamaa, kama mnabisha leta video yenye sauti. Lakini kwa sababu jamii ya kibongo ishakuwa programmed kwenye kuchukia wanaume basi inaonekana binti hana kosa na jamaa ndio kakosea peke yake.

Kesi ya Paulina Gekul kimyaa, kesi ya mkuu wa mkoa wa Geita ikashupaliwa. Makonda kusema ana mke mzuri hadi taasisi za haki za wanawake wakatoa tamko, mmama afande wa polisi kutuma wabakaji hakuna taasisi inayolalamika na wanaume waliohusika wamekamatwa.

Kwanini wanawake wanaonekana hawawezi kosea?
 
Ukitazama kwa umakini huyo binti kamtukana huyo jamaa, kama mnabisha leta video yenye sauti. Lakini kwa sababu jamii ya kibongo ishakuwa programmed kwenye kuchukia wanaume basi inaonekana binti hana kosa na jamaa ndio kakosea peke yake.

Kesi ya Paulina Gekul kimyaa, kesi ya mkuu wa mkoa wa Geita ikashupaliwa. Makonda kusema ana mke mzuri hadi taasisi za haki za wanawake wakatoa tamko, mmama afande wa polisi kutuma wabakaji hakuna taasisi inayolalamika na wanaume waliohusika wamekamatwa.

Kwanini wanawake wanaonekana hawawezi kosea?
Brother alikosa uungwana,uungwana ni vitendo mkuu, sio kuvaa tu mashati ya kipapaa
 
Kwanini Sauti imetolewa ?
Asilimia kubwa hapa watakuwa upande wa mwanamke...ila angekuwa amefanyiwa hivyo mwanaume kila mtu angeona ni kawaida tu na hata kesi ingemludia kijana wa kiume.

Ukiona mpak mtu mzima kam huyo mbaba kapaniki anampiga mtu ujue kuna kitu hakipo sawa hapo, hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu kila mtu wanamuona kama kijana mwenzake.

Natafuta Ajira mchango wako huku
 
Ukitazama kwa umakini huyo binti kamtukana huyo jamaa, kama mnabisha leta video yenye sauti. Lakini kwa sababu jamii ya kibongo ishakuwa programmed kwenye kuchukia wanaume basi inaonekana binti hana kosa na jamaa ndio kakosea peke yake.

Kesi ya Paulina Gekul kimyaa, kesi ya mkuu wa mkoa wa Geita ikashupaliwa. Makonda kusema ana mke mzuri hadi taasisi za haki za wanawake wakatoa tamko, mmama afande wa polisi kutuma wabakaji hakuna taasisi inayolalamika na wanaume waliohusika wamekamatwa.

Kwanini wanawake wanaonekana hawawezi kosea?


Umeongea point kubwa sanaa brother big up 👏👏
 
Kwanini Sauti imetolewa ?
Asilimia kubwa hapa watakuwa upande wa mwanamke...ila angekuwa amefanyiwa hivyo mwanaume kila mtu angeona ni kawaida tu na hata kesi ingemludia kijana wa kiume.

Ukiona mpak mtu mzima kam huyo mbaba kapaniki anampiga mtu ujue kuna kitu hakipo sawa hapo, hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu kila mtu wanamuona kama kijana mwenzake.

Natafuta Ajira mchango wako huku
Hawa wanaojiita wanaharakati wa haki za wanawake wamewajaza viburi mabinti na kuwaaminisha watawatetea kwa kila jambo ndio maana tunafika huku.

Miaka yangu ya primary mpaka olevel nakumbuka binti akishika mimba mshua anamtimua nyumbani na mabinti walijichunga kweli kweli na umalaya holela lakini sasa hivi wanaharakati uchwara wanawatetea kila kitu matokeo yake kuna ongezeko kubwa sana la mabinti kuzalia nyumbani wakiwa hawajaolewa.

Utetezi mkubwa wanaopewa mabinti kutoka kwenye jamii, mamlaka na asasi za kiraia inapelekea mabinti kuwa na uthubutu wa kucheza rafu nyingi sana, tatizo wakikutana na watu ambao hawafumbii macho ujinga matokeo yake ndio haya binti anaonekana victim kumbe yeye mwenyewe ndie chanzo.
 
Utetezi mkubwa wanaopewa mabinti kutoka kwenye jamii, mamlaka na asasi za kiraia inapelekea mabinti kuwa na uthubutu wa kucheza rafu nyingi sana, tatizo wakikutana na watu ambao hawafumbii macho ujinga matokeo yake ndio haya binti anaonekana victim kumbe yeye mwenyewe ndie chanzo.
umenena vyema kabisa mkuu
 
Kukiwa na sauti yoyote ndio kunajustify vipi kumpiga mtu?

Wewe kazini kwako, ulishawahi pewa ruhusa ya kupiga mtu akizingua?
Kwani uko kazini kwako wewe ulishawahi kupewa ruhusa ya kumtukana mtu?

Ukimchokoza mtu akikisha una nguvu za kuweza kumdhibiti endapo akakasilika na kukushambulia.

Ukimchokoza mtu na hauna nguvu za kumdhibiti, basi ukipewa kichapo tulia usianze kusumbua watu kwa sababu umejitakia wewe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom