SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
Source #2
View Source #2
Watu wanachapana mikono huko, yaani ni noma sana.

Screenshot_20240909-085354_1.jpg



 
Tunachokijua
Usaili wa kuandika katika kada ya afya umefanyika Septemba 3, 2024 nchi nzima ili kuwapta wataalam wa afya watakaojaza nafasi 9, 483 za ajira.

Wakati usaili huu ukiwa unaendelea ilisambaa video mtandaoni ikionesha binti akiwa anasukumwa na Mwanaume akiwa ameshika karatasi kati ya watu wengine walioshika karatasi ndani ya chumba, huku Watu wanaosambaza video hiyo wakidai ni tukio lililotukia kwenye moja ya vituo vya usaili, Tazama( hapa na hapa)

screenshot-2024-09-03-at-23-08-32-devotatweve-on-x-inadaiwa-kafanyiwa-hivi-wakati-wa-usahili-m-png.3086321
Ukweli ni Upi?
JamiiCheck imefuatilia video hiyo kupitia utafutaji wa kimtandao kwa kutumia Google Reverse Image ili kufahamu uhalisia wa video hiyo inayodaiwa kuwa ni ya tukio lililotokea kwenye moja ya maeneo yaliyofanyika usaili katika kada ya afya nchini.

Tumebaini kuwa video hiyo si ya Tanzania na haihusiani na usaili katika kada ya afya, video hiyo ni ya Congo na iliwekwa mtandaoni tarehe Agosti 26, 2024 (Tazama hapa) na kuendelea kusambaa, (tazama hapa) ikionesha tukio lililotokea Congo DRC.

Ufuatiliaji wa kimtandao unaonesha tukio hili lilimuhusisha binti wa chuo cha ISTA Kolwezi lundi (l’Institut Supérieur des Techniques Appliquées (ISTA)) ambaye alishambuliwa na mwalimu akiwa kwenye mtihani Mwalimu anafahamika kwa jina la Tshipamba Kabwe.

1725399147413-jpeg.3086332

Barua ikionesha kusimamishwa kazi kwa mwalimu aliyemshambulia mwanafunzi huyo​
Ukitazama kwa umakini huyo binti kamtukana huyo jamaa, kama mnabisha leta video yenye sauti. Lakini kwa sababu jamii ya kibongo ishakuwa programmed kwenye kuchukia wanaume basi inaonekana binti hana kosa na jamaa ndio kakosea peke yake.

Kesi ya Paulina Gekul kimyaa, kesi ya mkuu wa mkoa wa Geita ikashupaliwa. Makonda kusema ana mke mzuri hadi taasisi za haki za wanawake wakatoa tamko, mmama afande wa polisi kutuma wabakaji hakuna taasisi inayolalamika na wanaume waliohusika wamekamatwa.

Kwanini wanawake wanaonekana hawawezi kosea?
Mkuu Hata kama jamaa katukanwa ndio amfanyie hivi huyo binti? Hii kauli Yako haina tofauti na Ile kauli ya aliyekuwa RPC wa Dodoma kwamba binti aliyebakwa na kulawitiwa alikuwa anajiuza.
 
Sekretatieti ya ajira, waliongelea hiyo video, sema wameiondoa kwenye social media zao, mimi pia nipo kinyume na Violence, Lakini kama binadamu kuna wanaoweza himili hali ya kuwa provoked na wengine laah.

Makazini huko watu wanatwangana na maisha yanaendelea.
Huyu lazima afukuzwe kazi. hakuna cha kuwa provoked hapo. Wewe ni kiongozi , one does not expect such hooliganism behavior from a leader!
 
Kipindi hiki tutaona na kusikia mengi huko mitandaoni, na naona wameficha sauti ili tusijue tukio limetokea wap 😂

Anyway, sitak kuamini h imetokea Tz
Hahahaha hii siyo Tanzania bhana, tukifika hapo simu zote huwa zimezimwa, hata kama ni mfanyakazi alikuwa anachukua matukio, hawezi mchoma mshikaji wake.
 
Hawa wanaojiita wanaharakati wa haki za wanawake wamewajaza viburi mabinti na kuwaaminisha watawatetea kwa kila jambo ndio maana tunafika huku.

Miaka yangu ya primary mpaka olevel nakumbuka binti akishika mimba mshua anamtimua nyumbani na mabinti walijichunga kweli kweli na umalaya holela lakini sasa hivi wanaharakati uchwara wanawatetea kila kitu matokeo yake kuna ongezeko kubwa sana la mabinti kuzalia nyumbani wakiwa hawajaolewa.

Utetezi mkubwa wanaopewa mabinti kutoka kwenye jamii, mamlaka na asasi za kiraia inapelekea mabinti kuwa na uthubutu wa kucheza rafu nyingi sana, tatizo wakikutana na watu ambao hawafumbii macho ujinga matokeo yake ndio haya binti anaonekana victim kumbe yeye mwenyewe ndie chanzo.
itamcost heavily! Hata mahakamani binti atashinda! Then civil case alipwe fidia. Kesi nzuri sana hii
 
Hawa wanaojiita wanaharakati wa haki za wanawake wamewajaza viburi mabinti na kuwaaminisha watawatetea kwa kila jambo ndio maana tunafika huku.

Miaka yangu ya primary mpaka olevel nakumbuka binti akishika mimba mshua anamtimua nyumbani na mabinti walijichunga kweli kweli na umalaya holela lakini sasa hivi wanaharakati uchwara wanawatetea kila kitu matokeo yake kuna ongezeko kubwa sana la mabinti kuzalia nyumbani wakiwa hawajaolewa.

Utetezi mkubwa wanaopewa mabinti kutoka kwenye jamii, mamlaka na asasi za kiraia inapelekea mabinti kuwa na uthubutu wa kucheza rafu nyingi sana, tatizo wakikutana na watu ambao hawafumbii macho ujinga matokeo yake ndio haya binti anaonekana victim kumbe yeye mwenyewe ndie chanzo.
Ujinga wenu waTz ni pamoja na kutokujua adhabu ipi itolewe kwa kosa lipi, Hii long ass paragraph haina utetezi wowote wa maana, umeongea mihemko tu.

Wapi hapo kazini kwako uliambiwa mtu akifanya kosa fulani umpige? Work ethics ndio zinasema hivyo?

To begin with ushahidi uliopo kwenye video, hao wasahiliwa wote wanaonekana wapo desparate na kitu fulani, Ndio maana unaona wanaongea wote kwa mara moja, huyo binti ndiye ameenda extra mile sijui ametukana au ametoa neno gani, ndio huyo baba kumkunja hivyo.

Huyo baba angeweza kuita security wametoe huyo binti, mtihani wake uwekwe alama, na aambiwe kabisa hata akipewa kazi ameshaonesha dalili zote za kukosa adabu hivyo hafai kuwa mtumishi wa umma, Kitendo cha huyo baba kumpiga huyo binti tukienda kisheria huyo binti anashinda mchana kweupe, na hata haki isipotendeka basi huyo baba atapitisha rushwa kila sehemu au atasaidiwa na misogynist kama wewe.

Anyways, sijui hiyo video ninini au ni wapi ila mtu yeyote “sane” ataelewa mfanyakazi unatakiwa kuwa kwenye safe side katika maadili unless ni mzuri kwa rushwa au una watetezi.
 
Kitendo cha kupiga tu! Imekula kwako!
Kuna mtu ancommit first degree murder, lakini anaachwa huru, kwa kubainika alifanya hilo tukio bila kukusudia.

Kuna wengine wanalindwa na miongozo ya kazi zao, watu ni wakorofi maeneo yako ya utekelezaji wa kazi zako.
 
Kwani uko kazini kwako wewe ulishawahi kupewa ruhusa ya kumtukana mtu?

Ukimchokoza mtu akikisha una nguvu za kuweza kumdhibiti endapo akakasilika na kukushambulia.

Ukimchokoza mtu na hauna nguvu za kumdhibiti, basi ukipewa kichapo tulia usianze kusumbua watu kwa sababu umejitakia wewe mwenyewe.
Kichwa kikubwa akili huna.

Labda nyie mnaofanya kazi huko vichochoroni, mimi kazini kwangu hata Boss wangu haruhusiwi kunigombeza, kama nimekosea anipe onyo la maandishi ambalo consequence yake ni zaidi ya hivyo vibao mnavyotishia navyo watu.

Nguvu nyingi akili kisoda ndio maana kazi haziendi.
 
Back
Top Bottom