Eli Cohen JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 4,460 Reaction score 13,715 Feb 11, 2025 Thread starter #21 Intelligent businessman said: Sina maneno au mawazo mengi, mimi Kama katibu mwenezi wa kataa ndoa ushauri wangu ni KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO Mwenyekiti Liverpool VPN, katibu mwenezi Intelligent businessman, mwanasheria Xi Jinping, Wajumbe wa kataa ndoa Natafuta Ajira, min -me Mhasibu wa kataa ndoa OKW BOBAN SUNZU View attachment 3233667 Click to expand... πππ
Intelligent businessman said: Sina maneno au mawazo mengi, mimi Kama katibu mwenezi wa kataa ndoa ushauri wangu ni KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO Mwenyekiti Liverpool VPN, katibu mwenezi Intelligent businessman, mwanasheria Xi Jinping, Wajumbe wa kataa ndoa Natafuta Ajira, min -me Mhasibu wa kataa ndoa OKW BOBAN SUNZU View attachment 3233667 Click to expand... πππ
B Bolotoba JF-Expert Member Joined Apr 24, 2024 Posts 3,424 Reaction score 7,706 Feb 11, 2025 #22 makutupora said: Mimi sikatai ndoa ila Sina mpango wa kuikimbiliaa ... Nipewe muda wa kutosha wa kuitumikia chama kwanza π Click to expand... Mimi mnyw nipo kataa ndoa hadi 2030 mwisho 2033
makutupora said: Mimi sikatai ndoa ila Sina mpango wa kuikimbiliaa ... Nipewe muda wa kutosha wa kuitumikia chama kwanza π Click to expand... Mimi mnyw nipo kataa ndoa hadi 2030 mwisho 2033
B Bolotoba JF-Expert Member Joined Apr 24, 2024 Posts 3,424 Reaction score 7,706 Feb 11, 2025 #23 Nomadix said: ahaa kumbe we ni mutual exclusive tupo pamoja team jobless ila team kataa ndoa ndio haupo, Understood Click to expand... Yeah baba kwenye jobless nipo, uchumi wa kurumangia
Nomadix said: ahaa kumbe we ni mutual exclusive tupo pamoja team jobless ila team kataa ndoa ndio haupo, Understood Click to expand... Yeah baba kwenye jobless nipo, uchumi wa kurumangia
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Feb 11, 2025 #24 Pamoja na hayo bado siku hizi hayo mambo yapo kwa kiasi kikubwa, vishawishi ni vingi tofauti na zamani. Na wala sio zamani sana ambapo ilikua ukitoka mtaani huwakuti wanawakd wengi ila sasa hivi utawaona kila pahala na mavazi yao ya mitego.
Pamoja na hayo bado siku hizi hayo mambo yapo kwa kiasi kikubwa, vishawishi ni vingi tofauti na zamani. Na wala sio zamani sana ambapo ilikua ukitoka mtaani huwakuti wanawakd wengi ila sasa hivi utawaona kila pahala na mavazi yao ya mitego.