Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Watu tunapambana huku na kule, tunajikusu tunatoa kwa ari kubwa kusaidia chama na serikali yetu majina yetu hamyapeleki, nimekwazika sana. Sijaona jina langu na pesa zangu mmekula. Watu tunapambana hivi halafu inakuwa ni wale wale tu. Why? Why lakini?
Naandika haya nikiwa naumia sana. Hampeleki majina yetu kwa maza, mnayakalia, endeleeni kuyakalia muone kitakachowapata. Kila siku wanazunguka wale wale tu, sisi je? Huo ni ukorofi.
Ina maana wao ndiyo wapate togwa nzuri sisi tupate machicha? Huo ni ukorofi. Nasisi tunataka kulamba asali sio wao tu. Tunataka tulambe na kulambishana maana sisi mnatufanya kuwa watu wa kuwalamba tu mikono ninyi mkishalamba asali.
Si sawa hata kidogo.
Naandika haya nikiwa naumia sana. Hampeleki majina yetu kwa maza, mnayakalia, endeleeni kuyakalia muone kitakachowapata. Kila siku wanazunguka wale wale tu, sisi je? Huo ni ukorofi.
Ina maana wao ndiyo wapate togwa nzuri sisi tupate machicha? Huo ni ukorofi. Nasisi tunataka kulamba asali sio wao tu. Tunataka tulambe na kulambishana maana sisi mnatufanya kuwa watu wa kuwalamba tu mikono ninyi mkishalamba asali.
Si sawa hata kidogo.