Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Utapewa ushauri wa kila aina Ila mambo yanayomzeesha MTU haraka Sana ni

Stress
Stress

Sigara na bangi

Pombe zinaharibu mfumo wa ndani zaidi maini na figo ,moyo n.k

Pambana uzishinde stress kwanza.
umesahau na nyeto ..
 
Je pepusi?
 
Unashabikia timu gani?
 
Unakunywa pombe?
 
Sura ya kazi !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…