Watu wanaeweza tumia TIN Yako katika manunuzo yao

Watu wanaeweza tumia TIN Yako katika manunuzo yao

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Wafanya biashara mmeshawahi jiuliza changamoto mnazoweza kumbana nazo ktk huu mfumo mpya ulioboreshwa wa tin kuandika tin ktk manunuzi utakayofanya...tambua baadhi ya watu ambao umewauzia bidhaa wanaweza tumia tin Yako ktk manunuzi yao watakayofanya na ikasoma ktk tin yako
 
Mtu akitumia TIN yako kununua ni faida kwako, maana inaenda kwenye purchases ambayo purchases hutolewa kabla ya faida kupatikana.

Shida ni kama ataunga TIN yako kupata EFD akawa anatoa Risiti kwa TIN yako...

Ila TRA tayari washaweka utaratibu wa kukagua mashine zilizosajiliwa kwa TIN yako.

Nenda kwenye profile ya Acc yako ya TRA
 
Mtu akitumia TIN yako kununua ni faida kwako, maana inaenda kwenye purchases ambayo purchases hutolewa kabla ya faida kupatikana.

Shida ni kama ataunga TIN yako kupata EFD akawa anatoa Risiti kwa TIN yako...

Ila TRA tayari washaweka utaratibu wa kukagua mashine zilizosajiliwa kwa TIN yako.

Nenda kwenye profile ya Acc yako ya TRA
Tatizo manunuzi yakiwa makubwa utakuwa na stock usiyokuwa nayo. VAT unayoidai TRA na VAT ya stock uliyonayo havitalingana.
 
Hiyo shida yake iko wapi?
Shida yake ipo wakati unataka kufanya manunuzi sababu huna stock huku system inaonyesha una stock. Either utalazimika kuwa na mauzo hewa ambayo yataathiri cost of sales zako na ukigusa cost of sales umegusa faida au itakuwa ni alert kwa TRA Kwanini unamzigo mkubwa ila bado unauongeza wakihisi hutoi risiti. Wakija stoo kukagua unaambiwa umeuza bila risiti sababu system inaonyesha una stock.
BIASHARA HATA KAMA HUJASOMA UTAKUWA NA AKILI TU.
 
Screenshot_20230602-160911_(1).png
 
Mtu akitumia TIN yako kununua ni faida kwako, maana inaenda kwenye purchases ambayo purchases hutolewa kabla ya faida kupatikana.

Shida ni kama ataunga TIN yako kupata EFD akawa anatoa Risiti kwa TIN yako...

Ila TRA tayari washaweka utaratibu wa kukagua mashine zilizosajiliwa kwa TIN yako.

Nenda kwenye profile ya Acc yako ya TRA
Mkuu hujaelewa Sasa mtu kaweka tin namba Yako kuwa umefanya manunuzi sehemu flani maana yake itakiathiri ktk baishara Yako kimahesabu wakati hukuwa nauhutaji wamanunuzi kwa wakat huo
 
Shida yake ipo wakati unataka kufanya manunuzi sababu huna stock huku system inaonyesha una stock. Either utalazimika kuwa na mauzo hewa ambayo yataathiri cost of sales zako na ukigusa cost of sales umegusa faida au itakuwa ni alert kwa TRA Kwanini unamzigo mkubwa ila bado unauongeza wakihisi hutoi risiti. Wakija stoo kukagua unaambiwa umeuza bila risiti sababu system inaonyesha una stock.
BIASHARA HATA KAMA HUJASOMA UTAKUWA NA AKILI TU.
Hiki kitu nilikiuliza Depot moja hapa Dodoma alihitaji Tin number yangu kwa ajili ya mizigo ya sehemu yangu ya biashara na nikampa wasiwasi ambao ulinijia hawezi itumia kwa manunuzi ya watu wengine na athari zake ni zipi sijafatilia hadi leo

Ila cha ajabu ananipa risiti za EFD zenye Tin number tofauti tofauti kila siku yangu sijawahi kuiona
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom