Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kinaweza kuwa kibao Cha pikipiki,au corora iliyokwisha chinjwa zamani sana,hizi tunaita gari za moto!
IST ni ya mwaka gani na namba A zimemalizika mwaka gani?Hahahàa hio Fake, sawa na sasa hivi eti ukutane na IST namba AAA
Kuiyona scania namba d sio tatizo huwenda ndio limenunuliwa muda huu ,changamoto ni hiyo gari hapo juu kwa maaana wakati usajili namba A unamalizika hiyo gari ilikuwa haijatengenezwa au tuseme bongo hazikuwepo swali ameipata wapi , namm nilishakutana nalo hilo gari sinzaa jamaa akaniambia umeona hiyo hapo kuna namnaKwa wale wa Malori nadhani watakua wanaijua, nishawahi kuiona 113 (Scania) namba D kwa kweli nilichochoka
Kuna jamaa hapo amesema TISS hao,,,mm nakazia hilo.Kuiyona scania namba d sio tatizo huwenda ndio limenunuliwa muda huu ,changamoto ni hiyo gari hapo juu kwa maaana wakati usajili namba A unamalizika hiyo gari ilikuwa haijatengenezwa au tuseme bongo hazikuwepo swali ameipata wapi , namm nilishakutana nalo hilo gari sinzaa jamaa akaniambia umeona hiyo hapo kuna namna
Kwamba TISS inanunua na kutumia magari kama hayo? Hivi nyie watu huwa mnawaza nini? Mnaamini kuwa hawa watu ni so reckless kutumia vitu ambavyo ni suspicious hata kwa mtu wa kawaida tu? Yaani watake kuficha identities zao lakini wanazificha kwa kutumia uficho ambao ni so obvious and suspicious?Kuna jamaa hapo amesema TISS hao,,,mm nakazia hilo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ndo wale waliopata msamaha wa rais juzi hapamwenye nayo alikua jela