Halafu Mgeni Mjini humo weye!!... shaabash!! ...kuna watu mjini hawajulikani wewe!! .. weye fanya yako uone Moto!...ndo utajua kuwa hujui!....tena sometimes, wanaendesha style ya
Hiace mbovu, Beatles la zamani/jipya kaa nayo mbali hayo! ukijipendekeza Dakika sifuri tu kibao kinakugeukia! Ukiingia kwenye kumi na nane zao! wanakuingiza mule, una kalizwa kwenye vibench! vya Mantilie humo humo ndani! ndo utachoka!!.....
Halafu Mamtu Yenyewe,hayanaga haraka yale! Mibaunsa ime vaa- vika wash!! na Mikofia ya Rastfari, Mara Miwani myeusi tii!! na Miradio call....yaani utachoka! kosa la kawaida utazunguka nao weeee!! ......Mpaka uyambe kifukuto!...lkn kosa kubwa unaenda fichwa!
Ndo utajua wasio julikana ni nani.....!! Maborn town wanayajuaga kwa, mfano unaweza kumuona Dereva wako wa daladala/Tax Ghafla anakuwa km ana mapepe hivi!! haendi mbele kwa speed, au
anaondoa gari ghafla, wkt macho yako kwenye site Morror nakuangalia!! angalia km mwizi hivi hapo jua amekutana na hawa.....wanajuana sana .... kwa....
1.P/Number!
2.Mwendo!
3.Uchakavu!
4.Upya wake na number haviendani!
5.Waliomo! ni majitu! au yako hapo mbele yanachukuliwa soon! ukisogea zaidi pembeni sambamba nao, utaona kakimurimuri kekunduu au kijaniii kanawaka na kuzima usawa wa domo! utasikia yakiongea maneno km ''chui mwitu, mara kobe, nyau, nyoka nk!
6.kaa!! kaa! yao ilivo mle ndani na nje!! ni km wamemuinamia dereva ivi..sasa km wakitoka, ile toka yao sasa Mweee!
7.Tyre za Gari yao husika utazijiua kwa kuwaachia nafasi waende mbele kidogo, utazimulika km ni usiku...... na style ya tembea yao barabarani!
8.Hawanaga haraka!! na wkt mwingine wana haraka mnoo!
9. Magumashi!! magumashi!! wanaweza kuanzisha mbio ghafla! ukashangaa!
10.Usiku sasa heee!! Wana guji-tochi Maalumu haguonekanagi gukikumulika hugo tokea kwa nyuma lazima mbele huoni! sasa kuna mawili wana haraka zao wanataka kukupita au wana mashaka na wewe!.....hasa km unakimbia sana usiku Mnene!
ukiona ivo cha kufanya punguza mwendo, km ukizidisha wanajua aaahaa!! ndo wale wale!! wanaotujua! ..... unalo! mpaka uvunguni!...cha msingi wewe hapo, ni makosa sana kulisogelea hilo gari km ivo ulivo hapo nyuma yake!!
au labda wewe na dereva wako ni wa kuja! hajui maisha ya barabarani town! ndo maana unashangaa ivo!....wakuja kila kitu ni kushangaa tutuuuuuuu! wkt sie tumeyazoea hayooo!