Watu wanakosa pesa kwasababu hawana skill inayouzika na pia hawajui kuuza

Watu wanakosa pesa kwasababu hawana skill inayouzika na pia hawajui kuuza

Kudos kwako mkuu kwa kupenda kutoa mwanga kwa kitu unachokijua...

Ningeomba pia usijikite zaidi kwenye the "WHAT" ila uzame kwenye the "HOW" maana huko ndo penye pesa na ndo panapohitajika zaidi na wengi huwa hawaigusii.. ..

Mfano
Kutoa thread ya tips unazozitumia kufanya persuasion au sales successfully na pia experience yako katika hiyo field

Ni mawazo tu lakini mkuu

NB
Nakubali unachofanya brother.. stay blessed
 
Wisdom detected, some of advices proffered freely on this forum can be ignored at one's peril.

Ni muda sahihi sasa kuelewa, Higher learning institutions (especially universities) are business entities just like Apple Inc. and Volkswagen, the only difference from other businesses they do sell the brand
papers (certificates) that don't necessarily translate to marketable skills and some networking opportunities. Best learning happens in the library and some few educative forums like this one, not in class.

I don't have kids for now but I'm seriously considering homeschooling in the future. Our education system kills learning at basic level (primary school).
Please can you share with us those other forum that can help to acquire that's skills

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudos kwako mkuu kwa kupenda kutoa mwanga kwa kitu unachokijua...

Ningeomba pia usijikite zaidi kwenye the "WHAT" ila uzame kwenye the "HOW" maana huko ndo penye pesa na ndo panapohitajika zaidi na wengi huwa hawaigusii.. ..

Mfano
Kutoa thread ya tips unazozitumia kufanya persuasion au sales successfully na pia experience yako katika hiyo field

Ni mawazo tu lakini mkuu

NB
Nakubali unachofanya brother.. stay blessed

Pengine nikipata time nitaandika kwa uwazi jinsi mbinu nazotumia kuweza kuwa persuasive lakini pia hadi Point ya mwisho mteja anatoa pesa.

Sasa hivi kuna deal ya zaidi ya 680m najaribu kufanikisha ili nipate commission. Ni real estate.

Kama nikifanikiwa hii itakuwa mara yangu ya kwanza ku-close deal kubwa hivi.

Nitapenda niweke hapa uzoefu wangu.

Cheers 🥂
 
Pengine nikipata time nitaandika kwa uwazi jinsi mbinu nazotumia kuweza kuwa persuasive lakini pia hadi Point ya mwisho mteja anatoa pesa.

Sasa hivi kuna deal ya zaidi ya 680m najaribu kufanikisha ili nipate commission. Ni real estate.

Kama nikifanikiwa hii itakuwa mara yangu ya kwanza ku-close deal kubwa hivi.

Nitapenda niweke hapa uzoefu wangu.

Cheers [emoji1635]

Ngoja nifumbe macho nikuombee kwa sekunde chache.. utaipata hiyo brother [emoji123]

Stay blessed
 
Pengine nikipata time nitaandika kwa uwazi jinsi mbinu nazotumia kuweza kuwa persuasive lakini pia hadi Point ya mwisho mteja anatoa pesa.

Sasa hivi kuna deal ya zaidi ya 680m najaribu kufanikisha ili nipate commission. Ni real estate.

Kama nikifanikiwa hii itakuwa mara yangu ya kwanza ku-close deal kubwa hivi.

Nitapenda niweke hapa uzoefu wangu.

Cheers [emoji1635]
Kumekucha mkuu, kwa rehema za Mungu tumeiona siku nyingine na sasa tunaelekea kuikamilisha.

Mkuu tafadhali naomba muda utakaokuwa free tuzungumze japo kwa dakika tano tu. Nakuomba sana mkuu.
 
Kumekucha mkuu, kwa rehema za Mungu tumeiona siku nyingine na sasa tunaelekea kuikamilisha.

Mkuu tafadhali naomba muda utakaokuwa free tuzungumze japo kwa dakika tano tu. Nakuomba sana mkuu.

Mkuu Nitumie ujumbe Whatsapp nikupatie kazi.

Shukrani
 
Asante mkuu.
Ni sahihi yaani kama unajitahid kufikiria na kuwaza kama shule itakutoa basi endelea utakuwa bado saana maana dunia hio imechange sana pamoja na vyeti kuhitajika kama ushajidi wa potentials zako lakin kinachoanza kwanza ni potentialz zako...uwezo wako wakuchange sutuation kweny mazingira ama taasis husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sahihi yaani kama unajitahid kufikiria na kuwaza kama shule itakutoa basi endelea utakuwa bado saana maana dunia hio imechange sana pamoja na vyeti kuhitajika kama ushajidi wa potentials zako lakin kinachoanza kwanza ni potentialz zako...uwezo wako wakuchange sutuation kweny mazingira ama taasis husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu.
 
Back
Top Bottom